Recent content by kudot2020

  1. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi ya Kijasusi: Safari ya Gavin Luca

    Kazi nzuri mkuu
  2. kudot2020

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa bila VPN huwezi kupata Instagram wala Mtandao wa X

    Vpn gan mkuu inakubali??
  3. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi ya kusisimua: Kaburi la Mwanamuziki

    Kaz nzur mkuu
  4. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Nafsi zilizotelekezwa

    Kazi nzuri sn.. hongera
  5. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

    Rudi mkuu uendelee... unitag tafadhali
  6. kudot2020

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Nini nifanye kusafisha tumbo langu la uzaz ili kubeba mimba? Maana sipati mzunguko wangu vizur (nilishaenda hospital lkn tiba hazijasaisia sana)
  7. kudot2020

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Jina halisi la Yesu ni lipi mkuu. Arsis hakukwambia?!
  8. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dalili 10 kwamba una hisia sana

    Acha tuuu my
  9. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dalili 10 kwamba una hisia sana

    Amekufundisha nn my wng maana na me nipo hivyo mpk kuna mda najichukia. Najali sn, staki kuudhi wala kuumiza wengine, staki kupoteza wengine nawapenda kwa moyo wangu, nawahesabu kama navyo jihesabu! Ila sasa malipo 😢 ni mtihan na wala hawajali.
  10. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali usipite bila kusoma hii

    Wanakuja mkuu baki hapa hapa; na Mungu akufanyie wepesi.
  11. kudot2020

    JamiiForums Tanzania Robert Heriel alikuwa sahihi, roho yako ndiyo inapata neema/toba siyo mwili

    Nausubir na me huo mstar mkuu
  12. kudot2020

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

    Mecheka kwa nguvu 😂😂😂😂
  13. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najutia sana jambo hili

    Akili kubwa ni ipi mkuu au ww ulitakaje yaan baada ya kuzaa na jamaa wajikunyate kisa wamezaa!! Na jamaa hakuona kat yao anafaa kuoa hizo ss ni shida zake ila wametokea wanaume wamewaona katkat ya kuzalishwa bila ndoa lkn bado wanafaa kuwa wake za watu!! Kumbe mnapenda kuzalisha na kuacha half...
  14. kudot2020

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amefuatilia mawasiliano yangu kupitia simu kwa miezi mitatu

    Mwambie huyo hatujui wanawek tulivyo! Kwa kaul hiyo mwanamk anaweza akuonyesha upande wak wapili wa shilingi ulivyo half ukabak huamin macho yko maisha yk yt!! Yaan ufanye mambo yko meusi ukamatwe na evidence half ujitie umwamba wa kijinga!asee hata kama utachomoka na kujiona mshind lkn...
Back
Top Bottom