Recent content by Kraizy8

  1. Kraizy8

    Natafuta ajira nina shahada taaluma ya Mahusiano Kazi yaani "Industrial Relations"

    Habarini za jumapili wana JF, mimi ni kijana niliyehitimu taaluma tajwa apo juu mnamo mwaka 2015.Nina uelewa mkubwa wa masuala ya sheria za kazi na ajira pamoja na kanuni zake yaani "National labor Laws" nina uelewa mkubwa na namna ya kuzuia na kusuluhisha migogoro maeneo ya kazi na nina uelewa...
  2. Kraizy8

    Share experience au Nishauri kwa Mkasa huu

    Gharama za DNA si afford
  3. Kraizy8

    Share experience au Nishauri kwa Mkasa huu

    Sina mtt ila nnae ambay nategemea kupata nae mtt baadae sana
  4. Kraizy8

    Share experience au Nishauri kwa Mkasa huu

    Picha ya uyo mtt sina
  5. Kraizy8

    Nahitaji: Junior Workshop Supervisor

    Nahitaji nicheki kwa namba 0712336316/0765213455 au weka email address yko nikutumie official cover leter mkuu
  6. Kraizy8

    Share experience au Nishauri kwa Mkasa huu

    Habarini za saivi wana JF. Mwaka 2012 niliondoka nyumbani Arusha nikahamia Dar. Tulipokuwa Arusha tulikua na mfanyakazi wa kinyaturu, basi huyu dada hakuwa mchoyo wala hajui kukataa ukimuomba mchezo. Mimi binafsi nilikua najipigia siku nyingine kavu kavu siku ingine natumia condom.Lakini pia...
  7. Kraizy8

    Kauli Fupi ya Kuudhi: Upepo wa Jana Hausukumi Meli Leo

    Maneno ya kwenye khanga tu ayo
  8. Kraizy8

    Hodi hodi humu

    Peleka ujinga lako kule
  9. Kraizy8

    Hodi hodi humu

    Mgeni mwenyeji
  10. Kraizy8

    Charlotte Hill O'Neal a.k.a. Mama C

    The living legend Mama C kaimba pia na wasanii kama JCB, FID Q, Chindo Man, Dunga na wengineo..namuelewa sana uyu bibi
  11. Kraizy8

    Charlotte Hill O'Neal a.k.a. Mama C

    Kama unafuatilia project inaitwa S.U.A (saving underground artist) na kuna project inaitwa Mstaafrika ana mchango mkubwa sana..mbali na hiyo kama ni muhudhuriaji wa ViaVia arusha anapiga sana show za Live na vyombo vyake vya asili.....Ni mwalimu pia kwa wasanii
  12. Kraizy8

    Charlotte Hill O'Neal a.k.a. Mama C

    Ebwana kwa wanaomfahamu vizuri mama C ni moja wa wanaharakati wakubwa sana wa kukuza muziki na sanaa Arusha sana sana maadhi ya HIPHOP..kwa wale wanaojihusisha na hiphop kwny planet huwezi kumbeza huyu mama...lakini pia anasaidia jamii kwa mfano ana charity organization ya kulea watoto...
  13. Kraizy8

    Tamko la UVCCM mkoa wa Arusha kuhusu Lowassa

    Katika vijana wanaotumika vibaya ni hawa wa UVCCM ..Lowassa atawaumiza sana kikwete na wenzio wanamshindwa nyie mtamuwezea wapi..embu acheni kelele zenu huu ni mda wa #Hapakazitu Pigeni kazi don hamtamuweza
Back
Top Bottom