Ukubwa wa heka 1,600 lina hati halali.
Kina bwawa na mpaka wake ni mto
Sh. 650,000 kwa heka na kiwango cha chini kwa atakaetaka heka chache ni heka 500 lakini pia kwa masharti kuwa hatapewa upande wa mtoni,ataepewa mtoni ni yule atayechukua heka zote..
Mawasiliano ni 0713 77 94 94.
NAOMBA MUNGU WAZO LANGU LIFANYIWE KAZI
Serikali iweke mji wa kisasa kule kupunguza msongamano mjin
Kuwe na majengo marefu ambayo yatatumika kwa makazi ya watu wa vipato vyote
Kuanzia wanaomudu kupanga kachumba na sebule hadi watakaotaka vyumba vinne
Kama yale ya Polisi Barracks, Mabibo Hostel na...
Naomba nifahamishwe kuhusu kazi za kujitolea katika mashirika na makampuni mbalimbali.
Kuna wengine wanalipa Nauli na Chakula cha mchana,
wengine nauli tu na
wengine hawamlipi chochote huyu anayejitolea.
Hii imekaaje? Namaanisha ni utaratibu sa ofisi yenyewe au maamuzi binafsi ya bosi au kwenye...
NAAMINI 100%
Katika harakati za kutafuta kazi nimeshawahi kukutana na mazingira hayo!
Unatumika sana tu ila unacholipwa ukikigawa kwa siku 24 za kwenda kazini unapata nauli tu ya kwenda kazini na kurudi kwa wale wanaopanda gari moja.
Imagine unalipwa 25,000/= ukikataa jamii haikuelewi eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.