Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Kwamba wanafanya hiyo biashara ya ziada au lah haiwezi kuhalalisha kumlipa mtu elfu nane kwa mwezi, wewe ukila pale msosi ni kuanzia elfu 25 hadi elfu 40 kutegemea na menu ulochagua (kwa mtu mmoja,) yaani wewe ukila mara moja umelipa mshahara wa watu 3 hadi 5 kwa mwezi!
Uko sahihi mkuu sio kwamba nimehalalisha ila nimeeleza nachojua . Sio kwamba nakubalina nacho.
Lakini hakuna anayeweza kubisha mazingira ua uweezaji tanzania ni magumu mno. Running cost. Ile tu hali ya kutokuwa na mgoa wa umeme mwaka mzima unaweza kukuta wafanyakazi kama hao mshahara wao unaongezeka japo kwa buku 3.
Lakini hiyo ya Elfu nane naipinga . NI ujanja waajiri wengi wanatumia kuwepa malipo ya NSSF na kodi. Anaweza kupewa mshahara wa 20,000 akapewa posho fulani fulani.
Kwa mazingira ya Tanzania huwezi kuwekeza na kupata faida ukifuata sheria zote zilivyonadikwa kwenye kitabu. Ndio maana unaona wanaouja kuwekea huku ni kina RICHMOND.