Wakati nilipofika kuanza form one Irambo secondary school nilimkuta Joseph kabila akiwa form five yeye na pacha wake Josephine, umri wangu unafanana na Makamba na Zitto hivyo Kabila ni mkubwa kidogo kwa hao watu.
Ukiwa katika wakati kama huo huwezi fikiria utakujakupenda tena, kila jambo linaamuliwa na muda upe muda nafasi yake, baadaye utakuja kushangaa ilikuwaje ukapenda kiasi kile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.