Ananilazimisha nimtongoze binti yake mlokole

Ananilazimisha nimtongoze binti yake mlokole

...anadai binti yake ananifaa na kweli ananifaa yapata wiki ya tatu ananiambia ayo maneno nashindwa nifanyeje...

Sasa kama umeconclude anakufaa unataka usaidiwe kutongoza? Boys of nowadays!

Mwambie huyo mama akamalize kila kitu wewe ukatafune papuchi tu.
 
Inaonesha jamaa hana nia ya kuoa kwa sasa na huyo binti anamtamani ila ulokole wake ndiyo kikwazo maana jamaa sio muowaji.

Kwahiyo jamaa ambacho ana kitaka kwa huyo binti ni mahusiano tu ya kawaida na si kuoa ila sasa ulokole wa huyo binti na heshima iliyopo kwa mama wa binti ndiyo tatizo lililomfanya kuja hapa kutaka ushauri.
 
swali je unampenda huyo binti?kwa mfano hana hichokidude je unaweza endelea kumpenda ukiona ni sawa.. basi mtongoze ila si uende kijipigia uhusiano wenu utakuwa mbaya sana
 
huyo binti ushawahi kukutana nae..!!!
kama anaeleweka na huna demu.. basi anza kwa kuwachunguza wote yeye na mama yake kama wanafaa au vp... tumia akili kwenye maamuzi mkuu...!!!!
 
Kuna binti yake wa tatu kamaliza diploma mambo ya kilimo mlokole sana kwa kweli mzuri msitaarabu sana MAMA yake ananilazimisha nimtongoze awe mpenzi wangu anadai anatamani Sana niwe mkwe wake na anadai binti yake ananifaa na kweli ananifaa yapata wiki ya tatu ananiambia ayo maneno nashindwa nifanyeje

Usitu enjoy mkuu kwan tayari ulishaamua. Lipa mahali, tafuta cheti cha kuzaliwa kisha funga ndoa.
 
Umefikisha umri wa kuoa?sio unaomba ushauri wakati na wewe unakula kwa mama yako
 
Ushauri wangu: kama huyo binti ana sifa unazozitaka bhasi na unapata hisia za kumkubali mpende na muoe , usitumie influence ya mama yake kumfanya akupende badae laweza kuwa tatizo kwenu, na kama humtaki mweleze huyo mama kwamba tayari upo engaged bhasi inatosha.
 
Back
Top Bottom