Pole sana, hadi hapo huwezi pata msaada kutoka katika hiyo mahakama ambayo nina uhakika ni primary court, kama hakimu ni yule yule nenda kwa boss wake ambae ni hakimu wa mkoa, ukiona anakuzungusha panda ngazi ya juu ambayo ni kwa msajili..kisha rudi hapa kutoa mrejesho
Pia injinia kama rais wA club, aache muda mwingi kushinda na team, wachezaji wanamzoea sana.. awe anatokea kwenye matukio muhimu hata wachezaji wakimuona siku hiyo wanajua kuna jambo zito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.