blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 13,550
- 17,019
Hii sasa sio shida ya mkurugenzi. Wafanyabiashara watakuwa wanaingiza pesa nyingi sasa awahi kuamka ili iweje.Unakuta daladala hakuna na bajaji mida hiyo hakuna, unalazimika ulale stand ili usiachwe na mabasi