Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,467
- 283,808
Katika kusherehekea sikukuu ya Uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyofanyika Ikulu ya Magogoni , huko Mjini Mbeya, Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi AMEIPA CHADEMA KIWANJA KIKUBWA kwa ajili ya kujenga Majengo ya Chama hicho.
Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.
Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.
Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.
Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.