Joseph Mbilinyi (Sugu) aikabidhi kiwanja CHADEMA Mbeya Mjini

Joseph Mbilinyi (Sugu) aikabidhi kiwanja CHADEMA Mbeya Mjini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,467
Reaction score
283,808
Katika kusherehekea sikukuu ya Uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyofanyika Ikulu ya Magogoni , huko Mjini Mbeya, Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi AMEIPA CHADEMA KIWANJA KIKUBWA kwa ajili ya kujenga Majengo ya Chama hicho.

Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.

Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.
 
Katika kusherehekea sikukuu ya Uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyofanyika Ikulu ya Magogoni , huko Mjini Mbeya, Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi AMEIPA CHADEMA KIWANJA KIKUBWA kwa ajili ya kujenga Majengo ya Chama hicho.

Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.

Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.

Kweli wewe ni chawa.
 
Katika kusherehekea sikukuu ya Uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyofanyika Ikulu ya Magogoni , huko Mjini Mbeya, Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi AMEIPA CHADEMA KIWANJA KIKUBWA kwa ajili ya kujenga Majengo ya Chama hicho.

Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.

Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.

Sugu amefanya jambo la maana sana. Anapaswa kupongezwa.

NB: nje ya mada, je ni kweli Marcus Albanie amefukuzwa CDM?
 
Katika kusherehekea sikukuu ya Uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyofanyika Ikulu ya Magogoni , huko Mjini Mbeya, Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi AMEIPA CHADEMA KIWANJA KIKUBWA kwa ajili ya kujenga Majengo ya Chama hicho.

Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.

Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.
Abadili na HATI Jina lisome CDM,

Asije wanyanganya endapo atabadili uelekeo,

Pia ahakikishe amejadiliana na mkewe na family wasije dai baadae,

Maana mtu anayefanya maamuzi akiwa amefurahi sana sometimes Huwa Hana tofauti na MLEVI anaeweza beti mkewe!!!!
 
Sugu amefanya jambo la maana sana. Anapaswa kupongezwa.

NB: nje ya mada, je ni kweli Marcus Albanie amefukuzwa CDM?
Chama hakijatoa tamko,ila kama kafukuzwa huo utakua udikteta
 
Sugu amefanya jambo la maana sana. Anapaswa kupongezwa.

NB: nje ya mada, je ni kweli Marcus Albanie amefukuzwa CDM?
Sijui lolote ? bali natambua kwamba mtu hufukuzwa na vikao vya chama , sijaona wala kusikia kikao kilichokaliwa kwa ajili hiyo , halafu afukuzwe kwa lipi hasa ?

Ngoja nichunguze
 
Back
Top Bottom