Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,910
- 5,996
FULL TIME: Yanga imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 4-0, timu hizo zitarudiana wikiendi ijayo
Mayelee anafunga bao la nne na la tatu kwake
88' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mayeleeeeeee
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
82' Zalan wanajaribu kufanya shambulizi la kushtukiza inashindikana
80' Fei Toto anamiliki mpira mbele ya lango la Zalan lakini kunakuwa hakuna faida
63' Kasi ya Yanga imepungua kiasi, Zalan wanaonekana kutokuwa na presha
59' Yanga wanafanya mashambulizi mengine kwa kasi
Fei Toto anafunga bao la pili kwa Yanga akimalizia kazi ya Mayele
55' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
50' Yanga wanaongeza kasi ya mashambulizi
Mayele anaipatia Yanga bao la kwanza
46' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Inaongezwa dakika moja ya nyongeza
43' Mpira unawekwa wavuni kwa Zalan lakini inakuwa offside
38' Yanga wanamiliki mpira muda mwingi lakini hayajawa na mafanikio katika kugusa nyavu.
29' Fiston Mayele anaweka mpira wavuni lakini mwamuzi anasema ni offside
27' Mpaka sasa shujaa wa Zalan ni kipa kutokana na kuokoa mashuti kadhaa ya hatari
18' Mayele anapata nafasi inaokolewa inakuwa kona
10' Yanga wanapata nafasi kadhaa za wazi lakini wanashindwa kutumia nafasi vizuri.
4' Yanga wamefanikiwa kufanya shambulizi kali lakini kipa wa Zalan akauwahi mpira.
Mchezo umeanza hapa kwenye Uwanja wa Mkapa.
Vikosi vya timu zote vinaingia uwanjani muda huu
Ngoma inapigwa leo Jumamosi Septemba 10, 2022 na inatarajiwa kuanza saa 10:00 Jioni kwa Tanzania.
Kikosi cha Yanga kuelekea mchezo huu, tayari timu zipo uwanjani kwa ajili ya kupasha misuli.
Salaam kwenu;
Timu mbili za Kariakoo zitashuka dimbani katika mechi tofauti za kufuzu CAF Champions League.
Yanga watawakaribisha Zalan katika dimba la Mkapa.
Big Bullets watawakaribisha Simba huko nchini Malawi.
Mechi zote kupigwa Saa 10:00 alasiri kwa saa za hapa nyumbani
Mechi zote zitakuwa live kupitia Azam Sports 1&2
Karibu hapa kwa live updates za mechi zote mbili...
Mayelee anafunga bao la nne na la tatu kwake
88' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mayeleeeeeee
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
82' Zalan wanajaribu kufanya shambulizi la kushtukiza inashindikana
80' Fei Toto anamiliki mpira mbele ya lango la Zalan lakini kunakuwa hakuna faida
63' Kasi ya Yanga imepungua kiasi, Zalan wanaonekana kutokuwa na presha
59' Yanga wanafanya mashambulizi mengine kwa kasi
Fei Toto anafunga bao la pili kwa Yanga akimalizia kazi ya Mayele
55' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
50' Yanga wanaongeza kasi ya mashambulizi
Mayele anaipatia Yanga bao la kwanza
46' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Inaongezwa dakika moja ya nyongeza
43' Mpira unawekwa wavuni kwa Zalan lakini inakuwa offside
38' Yanga wanamiliki mpira muda mwingi lakini hayajawa na mafanikio katika kugusa nyavu.
29' Fiston Mayele anaweka mpira wavuni lakini mwamuzi anasema ni offside
27' Mpaka sasa shujaa wa Zalan ni kipa kutokana na kuokoa mashuti kadhaa ya hatari
18' Mayele anapata nafasi inaokolewa inakuwa kona
10' Yanga wanapata nafasi kadhaa za wazi lakini wanashindwa kutumia nafasi vizuri.
4' Yanga wamefanikiwa kufanya shambulizi kali lakini kipa wa Zalan akauwahi mpira.
Mchezo umeanza hapa kwenye Uwanja wa Mkapa.
Vikosi vya timu zote vinaingia uwanjani muda huu
Ngoma inapigwa leo Jumamosi Septemba 10, 2022 na inatarajiwa kuanza saa 10:00 Jioni kwa Tanzania.
Kikosi cha Yanga kuelekea mchezo huu, tayari timu zipo uwanjani kwa ajili ya kupasha misuli.
Salaam kwenu;
Timu mbili za Kariakoo zitashuka dimbani katika mechi tofauti za kufuzu CAF Champions League.
Yanga watawakaribisha Zalan katika dimba la Mkapa.
Big Bullets watawakaribisha Simba huko nchini Malawi.
Mechi zote kupigwa Saa 10:00 alasiri kwa saa za hapa nyumbani
Mechi zote zitakuwa live kupitia Azam Sports 1&2
Karibu hapa kwa live updates za mechi zote mbili...