Utawala nikazi ngumu sana ukitaka kutawala wanavyo taka watu. Huwezi kufikia malengo uliyo jiwekea uyafikie.inatakiwa kuamu iwe hivi basi ifuwatwe .ukisema utumie hekima huwezi fika malengo.waga hawajafikia malengo .tumuachie yeye kama raisi tumesha mchangua .
Ukosawa ila wapo wanaofanya hivyo sio Wwe tu,ila wengi wao kwamtazamo wangu wameshikwa na wake zao.ila wenyewe wanaona niupendo ila mmi naona kama utumwa hata hera ya vocha anaenda kumuambia mkewe mma fulani nipe buku nikanunuevocha .ila kila mmoja nasistaili yake yamaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.