Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,501
sijui kwanini sipati nitafutie basi?Najua mkuu, jina lako tu linajieleza.
-Kaveli-
sijui kwanini sipati nitafutie basi?Najua mkuu, jina lako tu linajieleza.
-Kaveli-
Ni pmHabari JF Members,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm
Wasifu Wangu:
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
sijui kwanini sipati nitafutie basi?
nipo kama huyu mwenye post isipokuwa tu sina mtotoTatizo wewe hututaki sisi wabeba zege. Haya nitumie Criteria zako then 'niingie kazini' upate kitu roho inapenda. Andaa kabisa commission yangu for ground cost and communication. Fastaaa unaveshwa shera ng'ari ng'ari .
-Kaveli-
mmmmmmhhhh wakubwa wanafaidi jaman
Tengeneza thread yakonipo kama huyu mwenye post isipokuwa tu sina mtoto
mbeba zege gani nilimkataa mkuu? halafu msinisingizie bnaTatizo wewe hututaki sisi wabeba zege. Haya nitumie Criteria zako then 'niingie kazini' upate kitu roho inapenda. Andaa kabisa commission yangu for ground cost and communication. Fastaaa unaveshwa shera ng'ari ng'ari .
-Kaveli-
nilishaweka mkuu kibaoTengeneza thread yako
Yote maisha buanahahahaa mkuu, sisi serengeti-boy sijuwi tutafaidi lini aisee. Tunatengwa sana na wadada watamu kama huyu mleta uzi.
-Kaveli-
Ulipata wangap..??nilishaweka mkuu kibao
nipo kama huyu mwenye post isipokuwa tu sina mtoto
Yote maisha buana
Ngoja waje wafiwe na wazee ktk visimi ndio watakuja kutukumbuka
N:B Taifa lolote linajengwa na vijana
ningepata ningetafuta tena mkuu? umefukuzwa udom nini mbona huelewi?Ulipata wangap..??
nasubiria mshengahahahaaa mkuu umenena.
-Kaveli-
Mmi nahitaji kuwa nawe sifa ninazo hizo