Hii pic naona kama yazamani kidogo maana Mzee wa msoga sikuhizi amechakaa kidogo.. !Wanasayansi wanasema ukicheka unaongeza siku za kuishi!Full of love in the House!!!
Kila la Heri mstaafu Kikwete umetuacha pazuri, una kila sababu ya kucheka na kufurahia kwani nchi ipo kwenye mikono salama kabisa!
Kweli kabisa!Mahaba ya kinafiki,mahaba ya public.
Hebu mie...
Wanasayansi wanasema ukicheka unaongeza siku za kuishi!Full of love in the House!!!
Kila la Heri mstaafu Kikwete umetuacha pazuri, una kila sababu ya kucheka na kufurahia kwani nchi ipo kwenye mikono salama kabisa!
Hogera na Wwe pia
wivu huoHovyo hovyo hovyo
Wacha wivu..Hovyo hovyo hovyo