Huyo Kapuya ni ahaji wa ajabu sana, alhaji mwenye bendi ya muziki, klabu za usiku, baa! Huyu haa mungu hamwogopi. Ananyumba pale urambo mjini karibi na benki, akiwa hapo kazi moja tu, wanawake mpaka jua lina tua! kiwa hapo anendesha majungu na masihara kuhusu mpira! Awamu ya kwanza alipokuwa...