Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Nimepata habari kwamba leo hii Jk alikuwa anahutubia eneo la Kipunguni Moshi Bar jijini Dar na ilipofikia kusema wangapi watampigia kura? Wachache mno walionyesha mkono juu!
Bye Bye JK, mwanakwetu. Pengine it's not your mistake -- ni wapambe wako wanaokudanganya.
Bye Bye JK, mwanakwetu. Pengine it's not your mistake -- ni wapambe wako wanaokudanganya.