Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Rais mtarajiwa wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amethibitisha kuwa CCM ni wezi wa kura na kwamba mahakama ilishathibitisha na kutoa hukumu aliyoshinda Slaa kuwa CCM walimwibia kura 5000, lakini bado alishinda. Slaa anasisitiza safari hii Wananchi walinde kura zisiibiwe na CCM.