Elections 2010 Dr. Slaa rusha vipindi vya Televisheni kila siku hadi tarehe ya uchaguzi

Watanzania

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
727
42
Katika hatua za kumalizia ushindi, namshauri Rais mtarajiwa na kampeni meneja wake, warushe vipindi vya televisheni kila siku kuanzia leo hadi tarehe ya uchaguzi. Hii itasaidia watu ambao hawajapata nafasi ya kusikia sera za Dr. Slaa za elimu bure, vifaa vya ujenzi rahisi na mengine mengi waweze kumsikiliza na kuongeza ushindi. Chadema pia walengeshe vipindi vyao vingongane na mikutano au vipindi vya televisheni vya JK. Watu siku hizi hawataki kuwasikiliza CCM.
 
ni wazo zuri tatizo suna uhakika kama wana pesa za kutosha kwa mda huu mkuu,nadhani wanatamani pia lakini nahisi gharama za kurusha matangazo kwenye television ni kubwa sana
 
ni wazo zuri tatizo suna uhakika kama wana pesa za kutosha kwa mda huu mkuu,nadhani wanatamani pia lakini nahisi gharama za kurusha matangazo kwenye television ni kubwa sana

Speaker, siyo lazima walipe cash, Chadema ni Chama kinachopendwa na watanzania wengi, tutawachangia kulipa madeni hata baada ya uchaguzi. Sisi wananchi tumeamua. Mwenye mawasiliano na Chadema na Dr. Slaa afanye haraka iwezekanavyo leo hii. Hili ni suala la kufa na kupona, hakuna mchezo. Sisi watanzania tunamwamuru Rais mtarajiwa Dr. Slaa na Chadema watekeleze ombi hili, tutalipa gharama kwa kutoa michango, hata baada ya uchaguzi, ni kwa ajili ya ukombozi wetu kutoka kwenye minyororo ya CCM.
 
TV itawaongezea CHADEMA kura. Aliyekataa mdahalo kajitia kitanzi mwenyewe! Uliona wapi mtu anataka kuoa lakini hataki kujitokeza mbele ya wakwe? Ati anataka kwenda ukweni kwa kunyata! Hiki kituko cha mwaka!
Mzee hapa tulipofikia ni sawa na Haiti ilivyokwa wakati wa PAPA DOC! Kikundi cha mafioso kilihodhi nchi hadi pale wananchi walipowatoa nduki! Tanzania inahitaji kuwatoa nduki wahujumu nchi sasa! bahati mbaya hawaruhusu sisi tulio nje kupiga kura, yangu ingeenda kwa SLAA. Siku ya kupiga kura walinde kura zao, wtu wasitoke vituoni hadi kurazihesabiwe.
Mungu ibariki Tanzania.
 
TV itawaongezea CHADEMA kura. Aliyekataa mdahalo kajitia kitanzi mwenyewe! Uliona wapi mtu anataka kuoa lakini hataki kujitokeza mbele ya wakwe? Ati anataka kwenda ukweni kwa kunyata! Hiki kituko cha mwaka!
Mzee hapa tulipofikia ni sawa na Haiti ilivyokwa wakati wa PAPA DOC! Kikundi cha mafioso kilihodhi nchi hadi pale wananchi walipowatoa nduki! Tanzania inahitaji kuwatoa nduki wahujumu nchi sasa! bahati mbaya hawaruhusu sisi tulio nje kupiga kura, yangu ingeenda kwa SLAA. Siku ya kupiga kura walinde kura zao, wtu wasitoke vituoni hadi kurazihesabiwe.
Mungu ibariki Tanzania.

Kitu kinachonishangaza, huku ukipita kila mahali watu wengi wanaonekana kumchoka mkwere na chama chake, na yeye mwenyewe ameshasisitiza kuwa, tumchague, tusimchague, ushindi kwa CCM ni lazima, hivi huyu jamaa anajiamini nini lakini, halafu hata watu waliomo humo ndani inaonekana wameshachoshwa na mambo ya humo lakini kwa nini mwisho wa siku wataibuka washindi!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom