Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Katika hatua za kumalizia ushindi, namshauri Rais mtarajiwa na kampeni meneja wake, warushe vipindi vya televisheni kila siku kuanzia leo hadi tarehe ya uchaguzi. Hii itasaidia watu ambao hawajapata nafasi ya kusikia sera za Dr. Slaa za elimu bure, vifaa vya ujenzi rahisi na mengine mengi waweze kumsikiliza na kuongeza ushindi. Chadema pia walengeshe vipindi vyao vingongane na mikutano au vipindi vya televisheni vya JK. Watu siku hizi hawataki kuwasikiliza CCM.