Jamani wahindi nao ni binadamu kama sisi tu sidhani kama Kuna tofauti. Kama ambavyo kuna baadhi ya Watanzania ambao wana roho nzuri, mbaya na za wastan na ndo hali ilivyo pia kwa wahindi.
Swali rahisi tu, sisi Watanzania tunajua nini kuhusu vita?
Tusiongelee mambo ambayo kwa asilimia kubwa hayajawahi kututokea zaidi ya kushuhudia hivi vitu kwenye T.V tu. .. haya mambo tuwaachie wale wenye uwezo nayo. Sisi kwa asilimia kubwa hatujakuzwa ktk masuala ya kivita, zaidi ya kimaisha
Baadhi ya watu wengi hawajapata Elimu ya kutosha ya dini na hivyo huishia kufuata mikumbo kwa uwoga ambao hata hawaufahamu na Matokeo yake huishia kuwa kama unavyosema hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.