Ndo maana ajali za ndege zimezidi...
jembe afrika;
Kwani amekuambia yeye ni rubani?? Au umesikia huyo msichana ni rubani?? Jamani, kama kuna mtu namchukia ni yule anaona kuwa ni rahisi saana kumvua kyupi mwanamke. Sa ka umempata hapo hapo airport na nafasi ya kurudi town haipo, nimwache kwa sababu naenda kupanda ndege? Hakuna mkosi kwenye kugegedana jamani, lile ni tendo la hishima saana. Tena wengine huwa nawaambia msioge siku 2 kwani kwangu kumpa hayo mate yangu ni kisimati saana
