Recent content by kitulike

  1. kitulike

    Vifurushi vya bima za afya

    utakua umeupiga mwingi
  2. kitulike

    Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

    sidhani kama kuoa inazuia jambo kama hili
  3. kitulike

    Wanawake jifunzeni mapishi, mnatia aibu

    Hata usikasirike, we run this world kumbuka!!
  4. kitulike

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    mdogo wangu nilivyosoma situation unayopitia kiukwel akilini likaja swala hili uliloliongelea hapa maana mm pia nimeshashuhudia hili, sasa fanya maamuzi sahihi ukiliweka hili kichwani mwako, nakutakia kila la kheri!!
  5. kitulike

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shukrani sana mkuu, nakuombea siku moja nione ushuhuda kutoka kwako, MUNGU akubariki
  6. kitulike

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Direct mkuu Status ni selected for oral both web na app
  7. kitulike

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndugu zangu, naomba niwashukuru kwa michango yenu hapa jukwaani, kiukwel kupitia uzi huu ulinipa matumaini sana katika safari yangu ya kusaka ajira, safari ni hii ni ngumu lakin naombeni kwa ambao bado hamjafanikiwa msikate tamaa, MUNGU yupo tusichoke kumuomba. Mimi ni kati ya waliotokea katika...
  8. kitulike

    Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

    Mkuu, naamini haupo serious juu ya hili
Back
Top Bottom