karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
Heri ya mwaka mpya
Moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Tanzania kuna makampuni mengi yanayotoa huduma ya bima hasa bima za Afya. Sasa ukiacha NHIF na CHF naomba kufahamu bei ya vifurushi vya bima za afya kutoka kwenye makampuni mengine ya bima.
Natanguliza shukurani
Moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Tanzania kuna makampuni mengi yanayotoa huduma ya bima hasa bima za Afya. Sasa ukiacha NHIF na CHF naomba kufahamu bei ya vifurushi vya bima za afya kutoka kwenye makampuni mengine ya bima.
Natanguliza shukurani