Wana jf hilo ni jina la tamthilia ambayo naitafuta,kwa yyt mwenye ufaham nayo na anajua inapopatikana anijuze.tamthilia hiyo ilikuwa ikioneshwa TBC 1 Miaka ya 2008_2009. Na ilikuwa imetafsiriwa kwa lugha ya kiswahi saafi. Kwa yyt anaejua inapopatikana basi anijuze.
Uislamu bado unakandamizwa nchini.ukiangalia BAKWATA ambae ndio mlezi na msimamizi wa dini ya kiislam nchini bado haifanyi kile ambacho waislam weengi wanakitarajia ktk kuisimamia dini yao.badala yake bakwata imegeuka ni gandamizo LA waislam pindi wanaposaka haki zao kidini.ht viongozi nao c...
Kwa taarifa yako ndani ya dini hizi kuna mambo meengi ya ajabu sana ikiwemo ,ugaidi,uchawi,uharamia nk. Na yote hayo yanaongozwa na viongozi wa dini kwa siri kubwa sana.kwa hiyo ndg.ww hutakiwi kujua saana mambo hayo kwani yatakutoa ktk imani yako ya kidini. Nenda kanisani au msikitini ukasali...
Shida ni moja mkuu,imefikia wakati hata mitoko ya ucku anatoka peke yake halafu anapiga picha na kupost mitandaoni.nikimuuliza ananiambia alialikwa na rafiki yake kwenye pati au some where kuinjoi. Kwakweli inaniwia ugumu kumuamini kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mwanamke ambae natarajia kumuoa cku za usoni.lkn Luna jambo ambalo linanitia shaka kwake!! Yaani Mara nyingi amekua akiniambia kuwa wanaume wengi wanamtaka na wengine wanataka kumuoa, nikimuuliza ansema hajawapenda ila ananipenda mm.sasa cku moja nikiwa kwao tumekaa tukijadili maisha yetu...
Nahitaji mrembo mweusi mwenye mvuto ili awe mpnz na baadae awe mke.dini awe muislam lkn kabila lolote. Atakaekua tayari anicheki watsaap--0752924807. NO JOKES AM SIRIOUS
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.