Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,553
- 112,496
Kweli huku ni kufuta ushahidiHawa jamaa zetu polic Kuna baadhi wnahusika Ktk mtandaoo huo wa utekaji wa watoto.....
Kuna style imetumikaaa kufuta ushahidiii hapo
OvA
Kweli huku ni kufuta ushahidiHawa jamaa zetu polic Kuna baadhi wnahusika Ktk mtandaoo huo wa utekaji wa watoto.....
Kuna style imetumikaaa kufuta ushahidiii hapo
OvA
natoa msamaha bure nikizingatia levels za uelewaPathetic creature!
Dada tafadhali! Usitake wakanipime mkojo!inaelekea unajua mengi kuhusu hii kesi
Sent from my iDevice using Tapatalk
Dada tafadhali! Usitake wakanipime mkojo!
View attachment 583247
Mtuhumiwa Samson Petro ambaye ndie mtekaji na muuji wa watoto wawili Maureen na Ikram amefariki dunia kwa kupigwa na risasi wakati akitaka kutoroka mikononi mwa Polisi jijini Arusha.
Mtuhumiwa alipigwa risasi mbili za miguu wakati akijaribu kutoroka na ndipo alipofariki dunia akiwa hospital ya Mount Meru.
Hapo awali Usiku wa tarehe 2 Septemba kijana mwenye umri wa miaka 18, Samson Petro alishikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuteka watoto katika mkoa wa Arusha na Geita.
Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Mponjoli Mwabulambo alithibitisha taarifa hizo za kukamatwa kwa mtekaji huyo.
Mwabulambo alisema kuwa kijana huyo alikamatwa katika nyumba ya kulala wageni ya Shitungului iliyopo mji mdogo wa Katoro akiwa na mtoto mdogo nmwenye miaka miwili.
Alisema mtuhumiwa alimficha mtoto huyo katika chumba namba 11 cha kulala wageni iitwayo Shitungulu wakati akisubiri mpango wake wa kutaka alipwe shilingi milioni nne na wazazi wa mtoto huyo Omben Mshana na Elizabeth Ombeni.
Habari zaidi soma;.
Kukithiri kwa vitendo vya Utekaji wa watoto/kidnapping katika Jiji la Arusha
ARUSHA: Watoto wawili kati ya wanne waliokuwa wametekwa wapatikana wakiwa wamekufa
Askari wa FFU akamatwa sakata la utekaji watoto
GEITA: Mtekaji wa watoto Arusha, Geita anaswa na Polisi
Mtekaji akiri kuua watoto 2, kuwatumbukiza shimoni
What if majibu yashapatikana?Hapana aisee...
What if ana mtandao...?
Utajulikana vipi kama shaidi namba moja ndio marehemu tena...
Sitaki kuingilia kazi ya polisi lakini mmmmnnnnhhhhh....
Ametuachia maswali kwa kifo chake ambayo ni yeye tu angeweza kuyajibu...
mpaka wanamtoa roho tayari washamhoji zaidi ya ujuavyoHapana aisee...
What if ana mtandao...?
Utajulikana vipi kama shaidi namba moja ndio marehemu tena...
Sitaki kuingilia kazi ya polisi lakini mmmmnnnnhhhhh....
Ametuachia maswali kwa kifo chake ambayo ni yeye tu angeweza kuyajibu...
Nimeuliza hivi...ushaidi wa marehemu unaweza kutumika mahakamani?mpaka wanamtoa roho tayari washamhoji zaidi ya ujuavyo
Hahaha kwannHuyu kwa unyama alio ufanya hakutakiwa kufa kirahisi namna hiyo.