Sitaki tena wanawake kutoka Tanga.

Sitaki tena wanawake kutoka Tanga.

Nipo zangu mkoani Tanga hapa kikazi, na ni wiki ya pili. Katika kuzunguka zunguka nikakutana na mtoto mashallah, mtoto jojo, mtoto chura, mtoto ina mpaka machoni.
Tukaanza mazoea kidogo kidogo, mpaka tuka exchange mawasiliano. basi nikampanga tukutane somewhere. Siku ya siku akasema anakuja basi nikalipia chumba lodge moja hivi karibu na stendi ya basi za mkoani.
Nikampokea, moja kwa moja mpaka room, kufika tu tukaanza mambo mambo, mtoto akalegea, kazi ikaanza ya to and flo motion, mtoto kiuno kama feni na sauti tamu. Raundi ya kwanza ikaisha mtoto bado anahitaji, nikajikaza raundi ya pili mtoto bado, raundi ya tatu mtoto bado anahitaji. Ikabidi nimtoroke kwa kisingizio cha kufata helmet nyingine, na kuanzia hapo sikumtafuta tena, mapenzi siyo vita wadada. Muwe mnatuonea huruma basi, twatumia damu.
Sasa mbn wanasema mapenzi yameanzia tanga? Jikaze tu mzee baba
 
Hahaaa. Tupo Kaka.

ukhuty, beingsingle na Da Madame B wote Tanga moja hiyo. 😂😂😂

Mzima lakini Kaka?
Tenaaaa
Chezea Tanga wewe.
Tumefundwa, tukafundika.
Tumekoshewa majimbo yote ya Tanga na vitongoji vyake.
Tumekogeshewa ndani ya vyungu vya zamani na kupakwa uturi wa zambiani.
Tanga hiyooooo.

Kuna kibao cha karibu Tanga, cha kwaheri hutokiona.
Waambie haooooo
 
Tenaaaa
Chezea Tanga wewe.
Tumefundwa, tukafundika.
Tumekoshewa majimbo yote ya Tanga na vitongoji vyake.
Tumekogeshewa ndani ya vyungu vya zamani na kupakwa uturi wa zambiani.
Tanga hiyooooo.

Kuna kibao cha karibu Tanga, cha kwaheri hutokiona.
Waambie haooooo
Hahahaaa...

Nilijua mtakuja tuu kwenye huu uzi .[emoji28][emoji28]
 
Tenaaaa
Chezea Tanga wewe.
Tumefundwa, tukafundika.
Tumekoshewa majimbo yote ya Tanga na vitongoji vyake.
Tumekogeshewa ndani ya vyungu vya zamani na kupakwa uturi wa zambiani.
Tanga hiyooooo.

Kuna kibao cha karibu Tanga, cha kwaheri hutokiona.
Waambie haooooo
Ewaaaaaa. Hapo Dada umemaliza kila kitu.

Kwenye red Nakazia.
 
Back
Top Bottom