Mwanaume anahitajika apa

naitwa Aicca icca, mimi ni msichana wa miaka 24 soon 25,natafuta mwanaume badae awe mchumba na mme,nature ya kazi inanifanya niwe mbali kidogo na kuendana na ulimwengu unavoenda,
mimi ni mkristo nahitaji mwanaume mkristo umri kuanzia 27-31.mwenye upendo wa kweli mwenye hofu ya Mungu pia.
mind you:sio kila mwanamke anaetoa uzi apa anakua ajielewi wengne tupo seriuos sana,kwa alie serious tu karibu pm.
Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
picha yko pliz

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Safi kabisa Aicca waambie na wenzio waige mfano wako full kufunguka sio unahitaji mwanaume unakaa kujifichaficha utazeeka bure Mungu akutangulie upate mme mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naitwa Aicca icca, mimi ni msichana wa miaka 24 soon 25,natafuta mwanaume badae awe mchumba na mme,nature ya kazi inanifanya niwe mbali kidogo na kuendana na ulimwengu unavoenda,
mimi ni mkristo nahitaji mwanaume mkristo umri kuanzia 27-31.mwenye upendo wa kweli mwenye hofu ya Mungu pia.
mind you:sio kila mwanamke anaetoa uzi apa anakua ajielewi wengne tupo seriuos sana,kwa alie serious tu karibu pm.
Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
mrejesho vipi?
 
naitwa Aicca icca, mimi ni msichana wa miaka 24 soon 25,natafuta mwanaume badae awe mchumba na mme,nature ya kazi inanifanya niwe mbali kidogo na kuendana na ulimwengu unavoenda,
mimi ni mkristo nahitaji mwanaume mkristo umri kuanzia 27-31.mwenye upendo wa kweli mwenye hofu ya Mungu pia.
mind you:sio kila mwanamke anaetoa uzi apa anakua ajielewi wengne tupo seriuos sana,kwa alie serious tu karibu pm.
Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app

Moja ya vitu vinavyodetermine umakini wa mtu ni pamoja na uandishi;

1. Herufi kubwa mwanzo wa sentensi;
2. Kuacha nafasi kila baada ya neno, kituo au mkato;
3. Usahihi wa spelling; na
4. Lugha za kujihami.

Unapotoa tangazo la namna hii jaribu kuzingatia hayo kwa uchache kwa sababu wengi wanakusoma kwa ulichokiandika.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom