Wanawake sijui wakoje

Kitokombe

Member
Dec 22, 2016
69
22
Nina mwanamke ambae natarajia kumuoa cku za usoni.lkn Luna jambo ambalo linanitia shaka kwake!! Yaani Mara nyingi amekua akiniambia kuwa wanaume wengi wanamtaka na wengine wanataka kumuoa, nikimuuliza ansema hajawapenda ila ananipenda mm.sasa cku moja nikiwa kwao tumekaa tukijadili maisha yetu ya baadae lkn gafla ikapigwa cm akashindwa kupokea nilipomuuliza kulikoni akaniambia niipokee mm maana kuna mwanaume anamsumbua sana na hamtaki, nilipohoji zaidi akadai pia kuna sms alimtumia cku za nyuma anazo pia anioneshe mm nikakataa na nikamwambia ansema vile kwakua mm nipo pale mda ule lkn nisingekuwepo angepokea cm na sms asingenionesha. Sasa ndg.zangu wana JF mnabishaurije maana naona mtihani uko mbele yng

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu ndoa ni safari na ni maamuzi unayotakiwa kuwana uhakika na maamuzi hayo.....mwanamke lake nikuheshimu kupenda ni jukumu la mwanaume... sasa ukiona mwanamke akuheshimu ni mtihani..

mwanamke anatingozwa hata akiwa ni mke wanaume huwa hawaachi muhimu ni mwenzio kuwa na msimamo tu na kutoweka mazingira ya kutongozwa au kukataa pale inapotokea,...

bado anajiona mdogo na ananafasi ya kumingle bado na hiyo inatokana na wanaume kumdanganya watamuoa lakini kiukweli hiyo ni gia tu si kila mwanaume muoaji...

jiamini mkuu
 
Tafuta hela! asubuhi asubuhi hii umo humu unataka ushauri wa kudhibiti mchumba.ukiwa na hela za kutosha utakuwa unachagua tu watakuja wa kumwaga.utakuwa unatafutwa kama yeye anavyotafutwa sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu ndoa ni safari na ni maamuzi unayotakiwa kuwana uhakika na maamuzi hayo.....mwanamke lake nikuheshimu kupenda ni jukumu la mwanaume... sasa ukiona mwanamke akuheshimu ni mtihani..

mwanamke anatingozwa hata akiwa ni mke wanaume huwa hawaachi muhimu ni mwenzio kuwa na msimamo tu na kutoweka mazingira ya kutongozwa au kukataa pale inapotokea,...

bado anajiona mdogo na ananafasi ya kumingle bado na hiyo inatokana na wanaume kumdanganya watamuoa lakini kiukweli hiyo ni gia tu si kila mwanaume muoaji...

jiamini mkuu


-Ndumilakuwili-
 
Shida ni moja mkuu,imefikia wakati hata mitoko ya ucku anatoka peke yake halafu anapiga picha na kupost mitandaoni.nikimuuliza ananiambia alialikwa na rafiki yake kwenye pati au some where kuinjoi. Kwakweli inaniwia ugumu kumuamini kbs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom