Recent content by kissabo_junior

  1. K

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nipatie likes zangu nitembee zangu
  2. K

    Prison breake vs into the bad land

    Season five hatari sana
  3. K

    Kwanini wanaume wazuri wengi wenu mna mipele na makovu kwenye makalio yenu?

    Ha ha ha mpaka umekamilisha huo utafiti utakua umetembea na weng sana hongera yako Ambao hawana makovu mbona wako weng wew tu kuchagua
  4. K

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Nonsense, mwandishi mzima unaleta porojo badala ya kumproove wrong gwajima kwa kutuletea vyeti unaleta blah blah. Napata wasiwasi na uwana habari wako pengine ndo maana umeshindwa kuajiriwa. Kumbe ni zero brain kama huyo umteteae Pumbavu kabisa! Kafanye homework kwanza ndo uje na mrejesho
  5. K

    Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

    Zama zimebadilika sio kama zaman. Miaka ya nyuma ilikua ni kaz sana kujiunga usalama wa taifa mpaka wao wakuchunguze bila wew kujijua kwa muda mrefu then ukikidhi viwango wanakuchukua. Yaani wanakuchunguza toka ukiwa primary hadi chuo na mwenendo wako wa maisha kiujumla. Tiss walifanya hivyo...
  6. K

    Remy vs Nicki Minaj. Daaamn Ma!

    Guec wot!!!! My nigga rmx lyrics by minaj. For sure she nailed t
  7. K

    Remy vs Nicki Minaj. Daaamn Ma!

    Sorry mkuu, kama unafahamu chanzo cha hili bifu naomba utuelezee vizuri maana kila kona linaongelewa. Mpaka pres. trump ametweet Na jee meek mlz anahusika vipi na bifu hili
  8. K

    Series (Special thread)

    Series za ki intelligencia Marvels agent of shield Homeland Strike back Designated survior Intelligence Macgaiver Nyinginezo: Game of throne Tyrant Banshee Into the badlands Narchos Vampire diarries Original Da vincii demons Animal kingdom
  9. K

    Usimchunguze na kumfuatilia mpenzi wako kama huna uwezo wa kumuacha

    Ha ha we jamaa unaipenda sana HTML Gud tho
  10. K

    Fahamu kuhusu rooting kwenye android mobile phones

    Hiyo jailbreaking in app? Taratibu za ku-root iphone zikoje???
  11. K

    Fahamu kuhusu rooting kwenye android mobile phones

    Kuhusu ku - root ios (iphones) vipi nayo inawezekana ? Ufafanuz plz!!!
  12. K

    Fahamu kuhusu rooting kwenye android mobile phones

    Nashukuru sana mkuu kwa makala nzuri, umenifungua macho kuhusu 'ku- root' nilikua sina elimu ya kutosha kuhusu suala hili, ila kwa sasa nimekua pro. Thanks keep it up[emoji122]
  13. K

    Ccna vs oracle

    Kwamimi naona CCNA iko marketable kuliko database. Networking is most common in companies
  14. K

    Tetesi: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria

    Well said ! Egypt economically yuko vizuri kuliko Tanzania hivyo. Misri anatumia uwezo wake wa kifedha kutukandamiza watanzania
  15. K

    Tetesi: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria

    Kimsingi sisi watanzania tunahaki ya kutumia ziwa victoria kwa vyovyote vile ilimradi tu, tusichafue mazingira na vyanzo vya maji. Kuna viongozi wachache wanahujumu matumizi ya ziwa victoria kwa maslahi yao binafsi na misri pia
Back
Top Bottom