ModernSniper
Senior Member
- Jan 3, 2015
- 152
- 47
Shukran sana mkuuHapo warrant ndo inaishia hapoo ukisha root.....fata process zote vizuri ili usije ukaharibu simu yako
Shukran sana mkuuHapo warrant ndo inaishia hapoo ukisha root.....fata process zote vizuri ili usije ukaharibu simu yako
Inawezekana hyo, inaitwa jailbreaking
Soma maelezo vizuri hapo juu.....risk ipo kama utakosea mashartiHamna risk yeyote
kasema inaweza kuzima mazimaNatamani sana kufanya hii k2, maana kuna jamaa yangu ameroot tecno ila ukiichek kama Iphon,
Sas naomba2 kujua kwamba efect zakuroot nikwamba2 unakua huhusiki na warant au kuna shida nyingne? Kama hamna nifanye mambo maana sina mpango nahyo warant,.
Majibu tafadhar bro.
Kama imekwambia hivyo maana ake endelea mbele kwa kudownload kingroot ten uiroot iki uwe superuser wa simu yakoSimu yangu ya Huawei 330 nimebongeza kwenye botton ya Builder number wameniambia NO NEED,YOU ALREADY A DEVELOPER.