Recent content by Kisoma

  1. K

    Hivi raisi Mugabe amefariki?

    Ndugu wanajamvi ni karibia siku 2 sasa kitaa hakuna umeme so mambo mengi nahisi yamenipita hasa ktk ulimwengu wa habari. Hilo sio lengo la mimi kupost ila dhima kuu ni kuuliza ni kweli raisi Robert Mugabe amefariki?maana nimekaa kwenye daladala naenda kwenye mishe ndio kuangalia abiria...
  2. K

    Wao 200,000/= sisi 10,000/= walimu?

    :hatari: hii hali kwa kweli inatisha jamani kwani hawa watu ndio msingi wa maendeleo wa taifa lolotye ila huku ketu hali ni kinyume kabisaaaaa!!!! Ndio maana walimu wa serikali hasa wa secondary sanaa zinakuwa haziishi,wenyewe wanaita mkukubi(mkakati wa kukuza uchumi binafsi),anasaini ofisini...
  3. K

    wanted! TOYOTA VITZ

    Nimeku-pm mkubwa
  4. K

    K

    tomasa,tia
  5. K

    Jamani hivi kuna watu wako juu ya sheria?

    Habri wana JF?leo ningependa kushea na wana JF experience yangu then itakuwa topic 4 discussion. leo jioni wakati natoka kwa mihangaiko yangu kulikuwa na bonge la foleni Tabata kuelekea Tazara. wakati huo kulikuwa na msururu wa Lory za jeshi (Iveco)kama tano hivi. wale wanajeshi kuona vile...
  6. K

    Atakua mke wa nani ? Angalizo ichangiwe na Great Thinkers Only.

    Hii ndg nahc umetoa kwenye filamu moja ya Kihindi inaitwa Sainik ila tu umeongezea wife kuolewa na m2 mwingine,but nice plot & somehow u've got touch of creativity especially towards the end of ur story. anyway nothng 2 coment.
  7. K

    Siipendi tabia hii

    anavyokulalia na majasho na mimate yake ukimuweka sawa asikulalie anakuwa mkali,nimeshawahi laliwa na limama moja neneee ila nilipotumia tips of the fingers kumuweka sawa kuepusha dhahma kwa shati langu alikuwa mkali akijilinganisha na mama mzazi! sijui kwanini watu wazima wanataka kujustify...
  8. K

    Hivi MKUKUTA umeishia wapi?

    nae KILIMO kwanza anapumulia mashine natural death inamwita! hatihati kuvuka twente twelv!!
  9. K

    Stupid question, stupid answer

    unakutana na mtu asubuhi anakuuliza umeamkaje? > Nimefumbua macho kwanza.
  10. K

    Utamshawishi vipi akuelewe?

    mwenye U.T.I ni wewe na sie yeye. ipo ktk context hiyo
  11. K

    Utamshawishi vipi akuelewe?

    soma mara ful vashen ov ze sredi ambayo imetupiwa kwa mara ya pili
  12. K

    Utamshawishi vipi akuelewe?

    wewe kaka Benard umeoa ila mkeo anasoma chuo kimoja mkoani. Nyumba unayoishi ni apartment ambayo upande wa pili unashea na dada mmoja ambaye kama bahati mnafanya kazi pamoja na hata wakati wa uwepo wa mkeo mmekuwa mkijumuika pamoja. Huyo dada nae kwa upande wake amekuwa huru sana kwako kiasi...
  13. K

    hivi kati ya mlimani city na quality centre wapi pako juu zaidi..?

    Ngoja niende leo nikatabaruk maana nimehamasishwa mno hasa na huo mfanano wa terminal 3 ya Dubai! tupunguze machungu ya kutoenda nchi za wenzetu.
  14. K

    cheka unenepe

    nilijua wanataka kusolve section c
Back
Top Bottom