we kongosho wee ,hivi mi na weye ni magreti thinka?embu tukae pembeni wenye bongo zao wamwage razi!kwenye hii movie, kwangu imefikia ndo wametangaza emejensi, so bado sijaenda vitani
ngoja waje walotekwa wajibu.
we kongosho wee ,hivi mi na weye ni magreti thinka?embu tukae pembeni wenye bongo zao wamwage razi!
KK magreti sinka vigezo :
> Hawatukani
> Hawajibishani matusi.
> Wapandwapo jazba ikabidi watumie maneno makali, basi huyazimua kwa kuyaweka katika lugha ya stara.
> Hawana quick tempar
> Hoja zenye mashiko, weledi , busara na hekima ndiyo silka zao.