Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
- Thread starter
- #41
Mtu anakukuta umetulia tuli,anaanza kukuuliza;unasemaje leo mtatoka kwetu?. Unamuuliza;nitatoka kwenu wapi na wewe ni nani?. Anakujibu;usijitoe akili,mimi ni simba na leo tunakutana shamba la bibi!. Unamjibu;kwaheri,mimi nilifikiri naongea na binadamu mwenzangu,kumbe wewe mnyama simba!,umetumwa nini?