THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Ishhh nini tena? huo ndo ulimbukeni
Hivo eeh lakini mama yenu kiukweli amenikamata. Kwan kwa kifupi pale kati huwa nachanganyikiwa kabisa lazima kwao niwajengee nyumba. How about you ?
Ishhh nini tena? huo ndo ulimbukeni
Kukoroma usingizi wa mchana ndani ya daladala
Hahahhaaa...huku akikudondokea na majasho teeele yakimtoka..inakeraaaaaje!!!!:lol:
Hahahhaaa...huku akikudondokea na majasho teeele yakimtoka..inakeraaaaaje!!!!:lol:
majukumu yametofautiana.
sana sana kwa kina dada kubip mara kwa mara wakati wanalipia caller tunes, inakera hii
Sipendi tabia hii. Mtu anakuomba msaada,whatever... Vocha,kiofisi or what... Unamsaidia kwa moyo mmoja,mwisho anakuaga bila hata kusema hata ahsante!...INANIUMA SANA SIJUI KWA NINI!
Kama ni kweli una moyo wa kutoa usingengoja akuombe, ina maana ungetii kiu yako ya kutoa na yeye asingepata nafasi ya kukwambia naomba, sema unapenda kuchunwa
Tabia ya mistrust... kila saa maswali ya uko wapi? uko na nani? unafanya nini?.... kwangu siipendi
kama una hasira za haraka unamtwangwa kibao.
Tabia ya wasichana kuomba omba vocha
"Honey, simu yangu haina credit,
naomba uniongezee..........."
Ningekuwa kidume ningewajibu "Pambaf....... kamuombe baba yako"
Wewe ni tabia gani inakukerai?