Kuna binti mmoja wa Kichaga alinipa game kidogo nichanganyikiwe! Ilibidi nimuulize kweli wewe mchaga? Akacheka na kudai fikra hizo zilikuwa za kizamani. Nilimgegeda haswa na alikuwa anakata mauno kama feni
Mmmmh mashinikizo ni kwa kila mtu anapata. Mimi mashinikizo yamehamia hata kwa staffmate kila mara naulizwa naoa lini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli binti akifikisha 30+ ujue umri umemwacha. Tatizo lao wanajiona warembo na kuwa selective sana mwisho wa siku wanaanza kulazimisha kuolewa kwa nguvu. Ukipendwa pendeka malingo mwachie Kinyonga!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.