Mke mpumbavu hutoka nje na kueleza mapungufu ya mume wake, ndiyo mwanzo wa ndoa kubomoka

Matofali 10 ya ndoa bora!

1.Lazima ujue kwamba wewe ni mke na ni wajibu wako kushuka na kumtii mumeo “enyi wake watiini waume zenu kama kutaniko linavyomti Mungu

2.Lazima ujue kwamba mumeo ni kiongozi wako, haijalishi uko smart kiasi gani, mume anabaki kuwa mume hata ukiwa rais wa nchi, ukirudi nyumbani unakuwa mke wa mtu; hapo elimu, nafasi, cheo, umaarufu havifanyi kazi.
“mume ni kichwa cha mkewe hata kama kichwa hakina akili bado ni kichwa, na unadhirisha usivyo na akili zaidi kwa kukubali kuolewa na mjinga umeshaolewa, umegundua ni mjinga, ishi naye kwa akili na msaidie kujua nafasi yake na muache akae kwenye nafasi yake”

3.Usiwe mjinga kiasi cha kutoka nje kwenda kueleza mapungufu ya mumeo; midomo ya wanawake wengi imevunja ndoa zao hao mashoga, marafiki, ndugu zako watakusikiliza ila hawatatatua shida zako bali watachangia kuibomoa.
“mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe”

4.Simama kidete na umlinde mumeo anaposhambuliwa… chako ni chako hata kama kina mapungufu… mtetee mumeo mbele za watu na mkosoe mnapokuwa wawili chumbani.
“naye abigaili akamwangukia daudi akamfichia mumewe aibu na kumlinda asiuawe”

5.Mumeo akitoka nje ya ndoa kutafuta nyumba ndogo, kabla ya kutafuta pepo aliyemwingia, tafuta mlango ambao huyo pepo ameutumia… inawezekana ulipokuwa single ulikuwa unajipenda, unapiga pamba mpaka basi, umeolewa unajivalia kivyovyote [shauri yako]; inawezekana ulipokuwa hujampata lugha yako ilikuwa super, lakini sasa unajibu unavyojisikia [shauri yako]; inawezekana ulipokuwa hujavaa pete ulikuwa unawapenda na kuwathamini ndugu na wazazi wake, lakini ulipoingia tu, ndio umeona karaha ya mawifi na ndugu wa mume [shauri yako]… inawezekana ni kitandani [biblia inasema mke hana umiliki juu ya mwili wake isipokuwa mumewe] usisahau hii ni ya muhimu sana, ukisema anakuchosha “kwa kukujia mara kwa mara” [shauri yako]!
“mungu amefanya jambo jipya duniani ya kwamba mwanamke atamlinda mwanaume”

6.Usisahau kwamba ni wajibu wa mke kuamka kabla usiku haujaisha na kupiga kazi zote za muhimu ndani… biblia imesema hili, mithali 31 [biblia haisemi ni kazi ya house girl; ukimpa house girl azipige umempa nafasi ya kuwa mke badala yake, maana ni kazi za mke mwema hizi]
“mke mwema huamka kabla usiku haujaisha ili kuweka sawa mambo ya nyumbani mwake kwa siku inayoanza baada ya usiku huo”

7.Ni lazima mke awe na kitu cha kufanya… ukiwa tu golikipa, hakuna viungo wala mabeki kukulinda utafungwa magoli.
Mke ambaye ana akili nzuri lazima awe na kitu cha kuingiza kipato…afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe, na kutunza watu wa nyumbani kwake, mithali 31 iko wazi kama unataka ndoa yako isimame, ukikwepa imekula kwako!
“mke mwema hufanya kazi kwa mikono yake mwenyewe, na kuwapa chakula watu wa nyumbani kwake”

8.Mke mwenye hekima anaulinda uhusiano na mama mkwe [hii ni zawadi ya pekee kwa mumeo], moyo wa mtoto wa kiume humpenda na kumjali mama, usisahau hii itakusaidia, ni silaha muhimu ya vita!
Soma kitabu cha ruthu utaona ruthu alivyocheza kete zake vizuri na kuuteka moyo wa mama mkwe.
“mke mwenye busara huhakikisha anauteka moyo wa mumewe kwa kuwa kipenzi cha mama mkwe”

9.Mke mwenye busara anajua ya kwamba ni jambo moja kuwa mzazi [mwanamke aliyezaa] na ni jambo jingine kuwa mama.
Kuzaa ni kuporomosha kiumbe baada ya miezi 9 aliyoweka mungu lakini kuwa mama kunategemea malezi sahihi na bora yatakayoweka msingi mwema na bora usiofutika kwa mwanao.
“mke mwema humlea mtoto wake katika njia impasayo ambayo hataiacha hata atakapokuwa mzee”

10.Mke mwenye hekima huuweka moyo wake kwa mungu: huku ndiko anakoeleza mapungufu yake, mapungufu ya mume wake, na kukabidhi ndoa yao kwenye mikono salama na makini ya mungu. Mungu anaweza kubadili chochote ambacho wazazi, washenga au washauri wa ndoa hawawezi kugeuza au kutatua.
“mke mwema hufunga na kuomba kwa ajili ya mumewe, ndoa na familia yake… ni rafiki wa uwepo wa mungu”
Jaa
 
Matofali 10 ya ndoa bora!

1.Lazima ujue kwamba wewe ni mke na ni wajibu wako kushuka na kumtii mumeo “enyi wake watiini waume zenu kama kutaniko linavyomti Mungu

2.Lazima ujue kwamba mumeo ni kiongozi wako, haijalishi uko smart kiasi gani, mume anabaki kuwa mume hata ukiwa rais wa nchi, ukirudi nyumbani unakuwa mke wa mtu; hapo elimu, nafasi, cheo, umaarufu havifanyi kazi.
“mume ni kichwa cha mkewe hata kama kichwa hakina akili bado ni kichwa, na unadhirisha usivyo na akili zaidi kwa kukubali kuolewa na mjinga umeshaolewa, umegundua ni mjinga, ishi naye kwa akili na msaidie kujua nafasi yake na muache akae kwenye nafasi yake”

3.Usiwe mjinga kiasi cha kutoka nje kwenda kueleza mapungufu ya mumeo; midomo ya wanawake wengi imevunja ndoa zao hao mashoga, marafiki, ndugu zako watakusikiliza ila hawatatatua shida zako bali watachangia kuibomoa.
“mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe”

4.Simama kidete na umlinde mumeo anaposhambuliwa… chako ni chako hata kama kina mapungufu… mtetee mumeo mbele za watu na mkosoe mnapokuwa wawili chumbani.
“naye abigaili akamwangukia daudi akamfichia mumewe aibu na kumlinda asiuawe”

5.Mumeo akitoka nje ya ndoa kutafuta nyumba ndogo, kabla ya kutafuta pepo aliyemwingia, tafuta mlango ambao huyo pepo ameutumia… inawezekana ulipokuwa single ulikuwa unajipenda, unapiga pamba mpaka basi, umeolewa unajivalia kivyovyote [shauri yako]; inawezekana ulipokuwa hujampata lugha yako ilikuwa super, lakini sasa unajibu unavyojisikia [shauri yako]; inawezekana ulipokuwa hujavaa pete ulikuwa unawapenda na kuwathamini ndugu na wazazi wake, lakini ulipoingia tu, ndio umeona karaha ya mawifi na ndugu wa mume [shauri yako]… inawezekana ni kitandani [biblia inasema mke hana umiliki juu ya mwili wake isipokuwa mumewe] usisahau hii ni ya muhimu sana, ukisema anakuchosha “kwa kukujia mara kwa mara” [shauri yako]!
“mungu amefanya jambo jipya duniani ya kwamba mwanamke atamlinda mwanaume”

6.Usisahau kwamba ni wajibu wa mke kuamka kabla usiku haujaisha na kupiga kazi zote za muhimu ndani… biblia imesema hili, mithali 31 [biblia haisemi ni kazi ya house girl; ukimpa house girl azipige umempa nafasi ya kuwa mke badala yake, maana ni kazi za mke mwema hizi]
“mke mwema huamka kabla usiku haujaisha ili kuweka sawa mambo ya nyumbani mwake kwa siku inayoanza baada ya usiku huo”

7.Ni lazima mke awe na kitu cha kufanya… ukiwa tu golikipa, hakuna viungo wala mabeki kukulinda utafungwa magoli.
Mke ambaye ana akili nzuri lazima awe na kitu cha kuingiza kipato…afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe, na kutunza watu wa nyumbani kwake, mithali 31 iko wazi kama unataka ndoa yako isimame, ukikwepa imekula kwako!
“mke mwema hufanya kazi kwa mikono yake mwenyewe, na kuwapa chakula watu wa nyumbani kwake”

8.Mke mwenye hekima anaulinda uhusiano na mama mkwe [hii ni zawadi ya pekee kwa mumeo], moyo wa mtoto wa kiume humpenda na kumjali mama, usisahau hii itakusaidia, ni silaha muhimu ya vita!
Soma kitabu cha ruthu utaona ruthu alivyocheza kete zake vizuri na kuuteka moyo wa mama mkwe.
“mke mwenye busara huhakikisha anauteka moyo wa mumewe kwa kuwa kipenzi cha mama mkwe”

9.Mke mwenye busara anajua ya kwamba ni jambo moja kuwa mzazi [mwanamke aliyezaa] na ni jambo jingine kuwa mama.
Kuzaa ni kuporomosha kiumbe baada ya miezi 9 aliyoweka mungu lakini kuwa mama kunategemea malezi sahihi na bora yatakayoweka msingi mwema na bora usiofutika kwa mwanao.
“mke mwema humlea mtoto wake katika njia impasayo ambayo hataiacha hata atakapokuwa mzee”

10.Mke mwenye hekima huuweka moyo wake kwa mungu: huku ndiko anakoeleza mapungufu yake, mapungufu ya mume wake, na kukabidhi ndoa yao kwenye mikono salama na makini ya mungu. Mungu anaweza kubadili chochote ambacho wazazi, washenga au washauri wa ndoa hawawezi kugeuza au kutatua.
“mke mwema hufunga na kuomba kwa ajili ya mumewe, ndoa na familia yake… ni rafiki wa uwepo wa mungu”
Namba 1 hadi 6 zilinifanya niachane na mke wangu.
 
mnatumia muda mwingi kuwafunda wanawake wakati kizazi cha kiume kinapotea kwa kasi
Ni kweli wanaume wachache mwanaume ni yule polisi aliyemimina risasi nne kwenye paji la uso sijui alikuwa jambazi yule au sijui alikuwa mzazi mwenzie. Wanaume wa hivyo wachache ndiyo maana adabu hamna.
 
Wanawake tunavumilia adi tunachoka..mnataka kutunziwa siri zenu wakat nyie wenyew hamjui kujitunza...mnataka kuvumiliwa mxiuuu,mtukome na sisi tuna moyo wa nyama na damu sio wa zege...mjirekebishe kwanza ndio mje na threada zenu za kutufunda
 
Umefikiri kweli mamdogo kabla hujajibu? Wanaosababisha ndoa zivunjike mostly in wanawake. Mfano mke was mtu unakubali kutembea na mme wa mwenzio, au kijana au Bo's wako kazini. Mwanamke angekuwa na akili anapotongozwa akatae hata yasingekuwepo. Mkitongozwa tu mmekubali bila kujali huyo anaekutongoza ni nani. Wengine hata chupi zenu wanafua housegirls. Nguo za mmeo anafua yeye, unalala hadi hadi uamshwe eti kwa kuwa wewe ni bosi kazini kwenu. MNA vituko vingi kuliko kizazi cha kiume. Sasa kuwa mbishi ule jeuri yako. Samahani kwa kusema ukweli.
Agiza kirikuu mbili baridiii ulipo nakuja kulipa,umesema ukweli hawa watu ndo wanavunja ndoa zao wenyewe,mwanamke hata kama nilikuwa nampenda vip nikijua kachepuka hata wangefufuka bibi zake wote siwez kumsamehe,kwanza nikimwona tuu nasikia kinyaaa.
 
Wanawake tunavumilia adi tunachoka..mnataka kutunziwa siri zenu wakat nyie wenyew hamjui kujitunza...mnataka kuvumiliwa mxiuuu,mtukome na sisi tuna moyo wa nyama na damu sio wa zege...mjirekebishe kwanza ndio mje na threada zenu za kutufunda
Ni kweli kabisa. Ujumbe umetufikia tutajirekebisha.
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Matofali 10 ya ndoa bora!

1.Lazima ujue kwamba wewe ni mke na ni wajibu wako kushuka na kumtii mumeo “enyi wake watiini waume zenu kama kutaniko linavyomti Mungu

2.Lazima ujue kwamba mumeo ni kiongozi wako, haijalishi uko smart kiasi gani, mume anabaki kuwa mume hata ukiwa rais wa nchi, ukirudi nyumbani unakuwa mke wa mtu; hapo elimu, nafasi, cheo, umaarufu havifanyi kazi.
“mume ni kichwa cha mkewe hata kama kichwa hakina akili bado ni kichwa, na unadhirisha usivyo na akili zaidi kwa kukubali kuolewa na mjinga umeshaolewa, umegundua ni mjinga, ishi naye kwa akili na msaidie kujua nafasi yake na muache akae kwenye nafasi yake”

3.Usiwe mjinga kiasi cha kutoka nje kwenda kueleza mapungufu ya mumeo; midomo ya wanawake wengi imevunja ndoa zao hao mashoga, marafiki, ndugu zako watakusikiliza ila hawatatatua shida zako bali watachangia kuibomoa.
“mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe”

4.Simama kidete na umlinde mumeo anaposhambuliwa… chako ni chako hata kama kina mapungufu… mtetee mumeo mbele za watu na mkosoe mnapokuwa wawili chumbani.
“naye abigaili akamwangukia daudi akamfichia mumewe aibu na kumlinda asiuawe”

5.Mumeo akitoka nje ya ndoa kutafuta nyumba ndogo, kabla ya kutafuta pepo aliyemwingia, tafuta mlango ambao huyo pepo ameutumia… inawezekana ulipokuwa single ulikuwa unajipenda, unapiga pamba mpaka basi, umeolewa unajivalia kivyovyote [shauri yako]; inawezekana ulipokuwa hujampata lugha yako ilikuwa super, lakini sasa unajibu unavyojisikia [shauri yako]; inawezekana ulipokuwa hujavaa pete ulikuwa unawapenda na kuwathamini ndugu na wazazi wake, lakini ulipoingia tu, ndio umeona karaha ya mawifi na ndugu wa mume [shauri yako]… inawezekana ni kitandani [biblia inasema mke hana umiliki juu ya mwili wake isipokuwa mumewe] usisahau hii ni ya muhimu sana, ukisema anakuchosha “kwa kukujia mara kwa mara” [shauri yako]!
“mungu amefanya jambo jipya duniani ya kwamba mwanamke atamlinda mwanaume”

6.Usisahau kwamba ni wajibu wa mke kuamka kabla usiku haujaisha na kupiga kazi zote za muhimu ndani… biblia imesema hili, mithali 31 [biblia haisemi ni kazi ya house girl; ukimpa house girl azipige umempa nafasi ya kuwa mke badala yake, maana ni kazi za mke mwema hizi]
“mke mwema huamka kabla usiku haujaisha ili kuweka sawa mambo ya nyumbani mwake kwa siku inayoanza baada ya usiku huo”

7.Ni lazima mke awe na kitu cha kufanya… ukiwa tu golikipa, hakuna viungo wala mabeki kukulinda utafungwa magoli.
Mke ambaye ana akili nzuri lazima awe na kitu cha kuingiza kipato…afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe, na kutunza watu wa nyumbani kwake, mithali 31 iko wazi kama unataka ndoa yako isimame, ukikwepa imekula kwako!
“mke mwema hufanya kazi kwa mikono yake mwenyewe, na kuwapa chakula watu wa nyumbani kwake”

8.Mke mwenye hekima anaulinda uhusiano na mama mkwe [hii ni zawadi ya pekee kwa mumeo], moyo wa mtoto wa kiume humpenda na kumjali mama, usisahau hii itakusaidia, ni silaha muhimu ya vita!
Soma kitabu cha ruthu utaona ruthu alivyocheza kete zake vizuri na kuuteka moyo wa mama mkwe.
“mke mwenye busara huhakikisha anauteka moyo wa mumewe kwa kuwa kipenzi cha mama mkwe”

9.Mke mwenye busara anajua ya kwamba ni jambo moja kuwa mzazi [mwanamke aliyezaa] na ni jambo jingine kuwa mama.
Kuzaa ni kuporomosha kiumbe baada ya miezi 9 aliyoweka mungu lakini kuwa mama kunategemea malezi sahihi na bora yatakayoweka msingi mwema na bora usiofutika kwa mwanao.
“mke mwema humlea mtoto wake katika njia impasayo ambayo hataiacha hata atakapokuwa mzee”

10.Mke mwenye hekima huuweka moyo wake kwa mungu: huku ndiko anakoeleza mapungufu yake, mapungufu ya mume wake, na kukabidhi ndoa yao kwenye mikono salama na makini ya mungu. Mungu anaweza kubadili chochote ambacho wazazi, washenga au washauri wa ndoa hawawezi kugeuza au kutatua.
“mke mwema hufunga na kuomba kwa ajili ya mumewe, ndoa na familia yake… ni rafiki wa uwepo wa mungu”
Ujumbe murua
 
Back
Top Bottom