Huyu mwanamke simuelewi, naomba ushauri

Huyu mwanamke simuelewi, naomba ushauri

Utaambiwa " acha kumharibia mwenzako"
Simuharibii wanawake ndivyo tulivyo....me mwenyew kuna MTU sasa hivi namfanyia hivyohvyo ......nasubiri akinipa nnachotaka tu baaasiiii kwisha kazi yake
 
WEWE NDO HUJIELEWI!!

mtu anakuonyesha kabisa kabisa asivyo tayari bado unaamini yupo tayari ila hataki kuwa tayari !!
Ah
 
Kwa kweli hawa viumbe ni pasua kichwa. Tuliza akili kwanza kbl hujafanya uamzi wowote
 
Mkuu nimekupa laiki kwa kuwa umweza kujieleza vizuri sana kwa marefu na kueleweka kwa wepesi. Wanafunzi wa chuo wana mengi ya kujifunza na kuona kuwa wanawai na hasa huwa wanajilinganisha na mahusiano yao fantasy kama movie za holiwood. Tabu wanaipata wakishamaliza chuo wanaoanza kuona maisha ktk 3D wakikumbuka nafasi walizochezea wanajuta
 
Hahahahaha nimedata kweli sio utani ujue .....ukiona sasa utacheka kufaaaa mfupi kama moja
Bwaaaahaaaahaaaa....wafupi huwa wabishi kinoma

Huwaga nakukubali, nikionaga comment yako nafurahi hata kabla sijaisoma!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom