Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
NakaziaKiufupi hupendwi....so sepa fasta au subiri kilio kimoja hivi amazing
NakaziaKiufupi hupendwi....so sepa fasta au subiri kilio kimoja hivi amazing
Utaambiwa " acha kumharibia mwenzako"Huna chako hapo ...sina la zaidi wanawake tuna hila nyingi kama hatumpendi mtu

Nakosaje kwa mfano hahahahaHukosi hapa![]()
![]()
![]()
Simuharibii wanawake ndivyo tulivyo....me mwenyew kuna MTU sasa hivi namfanyia hivyohvyo ......nasubiri akinipa nnachotaka tu baaasiiii kwisha kazi yakeUtaambiwa " acha kumharibia mwenzako"![]()
![]()
![]()
Haahaaa....utapata dhambiSimuharibii wanawake ndivyo tulivyo....me mwenyew kuna MTU sasa hivi namfanyia hivyohvyo ......nasubiri akinipa nnachotaka tu baaasiiii kwisha kazi yake

Wacha nipate tu buaaana we lakini hivyo nitafanyaHaahaaa....utapata dhambi![]()
Jamaa ako atakoma maana we demu ni umedata ( joke) haaahaaaWacha nipate tu buaaana we lakini hivyo nitafanya

Hahahahaha nimedata kweli sio utani ujue .....ukiona sasa utacheka kufaaaa mfupi kama mojaJamaa ako atakoma maana we demu ni umedata ( joke) haaahaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Duh! Kwa hii makala yako ngoja kwanza nipate kvant moja halafu nitacome back.Tusubiri waje
Bwaaaahaaaahaaaa....wafupi huwa wabishi kinomaHahahahaha nimedata kweli sio utani ujue .....ukiona sasa utacheka kufaaaa mfupi kama moja
Bwaaaahaaaahaaaa....wafupi huwa wabishi kinoma![]()
![]()
![]()
![]()
Huwaga nakukubali, nikionaga comment yako nafurahi hata kabla sijaisoma!
jaman dah