Recent content by Kisebengo Kibobori

  1. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Polepole wewe ndio msemaji wa Serikali?

    Mange akili kubwa... Polepole huyu hawez kujibu hoja za Mange hata siku moja labda polepole wa kipind kile cha katiba
  2. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Tajiri namba Moja Duniani, Bill Gates azuru Tanga leo

    Jeff Bezos Overtakes Bill Gates To Become World's Richest Man . Kichwan umejaza mashudu kama ID yako ilivyo
  3. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Tajiri namba Moja Duniani, Bill Gates azuru Tanga leo

    He is not number one anymore... Keshapitwa na fala mmoja hv ndio anaongoza sahv... Gate ni wa pili
  4. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Ukikubali kuoa mwanamke kwa ajili ya makalio kubali ndoa yako kutikisika kama yanavyotikisika makalio

    Ungetuwekea sample tuone namna yanavyotikiswa wengne bila picha hatuelew
  5. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania MUSIC VIDEO PRODUCTION

    Kama kuandika tu msanii unashindwa hyo video sijui itakuaje
  6. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Nasubiri kwa hamu kuona Twitter ya rais Magufuli ikimpongeza Uhuru Kenyatta!

    "On behalf of myself and people of tz I congrats prez Kenyatta..." Hahahahhh hyo tweet itatawaliwa na vichambo kutoka kwa wakenya hataamin
  7. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania CCM imepoteza fursa ya kumshauri rais?

    Hiyo kaz wamemuachia bashite ndio maana hata maamuz yake mengi yanaharufu ya uzero brain
  8. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Wazee wa kujilipua kimaisha (risk takers) kwa style tofauti tukutane hapa!

    Hiyo siku nlio bend over changudoa pekupeku was the greatest risk I've ever took in my life
  9. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Wachezaji 100 bora wa muda wote watajwa

    Maajabu haya cr7 kuwa juu ya gaucho tena juu hasa??? Waliotuletea hii orodha wakapimwe mikojo
  10. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa Dar acheni ushamba kwani kipi cha ajabu hapa?

    Yaaan kujimek kooote kumbe bajet ni 150k duuuh!!? Yaan nkibakiwa na hyo pesa natulia zng tu hom maana hata confidence huwa inapungua
  11. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu imetupilia mbali leo maombi ya dhamana ya Yusuf Manji

    WTF mbona huo msumeno kwa bashite unamapengo au usu-**** ndio special exceptional???
  12. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Wale wachepukaji wenzangu

    Mwanaume unaweza kuchepuka na mwanamke yoyte yule anaeweza kusababisha dudu lisimame regardless ni mzur au mbaya kuliko mkeo... Lkn kwa mwanamke ni tofaut kidogo wao wanachepuka na mtu ambae ana uwezo wa kumreplace mume wake kulingana na kitu ambacho anakihitaj kwa wakat huo either pesa mapenz
  13. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Kama MADAWA yamepata mwenyewe, Ni wakati wa Makonda Kueleza amejipangaje kuokoa ELIMU DSM

    Kama kirqnja wao mwenyew ni div0 unategemea nn
  14. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Mbowe, Zitto Kabwe na Lowassa tafuteni cha kufanya its over!

    Mtoa mada inaonekana hujakazwa siku nying mpaka sasa umelegea mawazo
  15. Kisebengo Kibobori

    JamiiForums Tanzania Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

    Aongee nn sasa wakat jalada tayar liko mahakaman???? Unadhan kila mtu anaropoka hovyo tu kama anavyofanya salome wa magu???? Usidhan siku zote hzo tangu atoke ni ww tu ndio hujamskia... Weng hatujamskia akiongea lolote lkn hakuna alieinua kisim kuhoji kwa nn haongei tena coz tunajua kwamba jambo...
Back
Top Bottom