Polepole wewe ndio msemaji wa Serikali?

Polepole wewe ndio msemaji wa Serikali?

ununda wa chadema peleka Kenya hapa bongo mtanyooka
 
kwani mange ndio msemaji wa wa watu siku hizi..siasa hizo zinamfaa aliyejibu!!



kwanza seriklali haiwezi kumjibu mange?...itamjibu kama nani?!!
Mkuu upo incompetent kuliko wale jamaa wa kurugenzi ktk kujibu hoja. MANGE NI VERY AUTHORITATIVE SASA HIVI .NA HIYO ILITOKANA NA IKULU KUWA NA KURUGENZI DHAIFU SANA.SASA MNAJIFANYA HAMTAKI KUONGEA.SUBIRI AENDELEE KUPIGA MARUNGU, NDIO MUANZE KUKURUPUKA TENA HALAFU IWE TOO LATE. MKIJA KUANZA KUKURUPUKA MTAKUWA MNA PIGIA SAHIHI ANAYOPOST. Kuna haja ya ikulu kuwa na watu wenye weledi tena sana, na iwe timu yenye watu wenye utaalamu wa maeneo mengi sana. hii itapunguza majibu ya hovyo na uongo wa kitoto. Angalau basi tutunze heshima ya ile office.
 
Mange akili kubwa... Polepole huyu hawez kujibu hoja za Mange hata siku moja labda polepole wa kipind kile cha katiba
 
Mange akili kubwa... Polepole huyu hawez kujibu hoja za Mange hata siku moja labda polepole wa kipind kile cha katiba
Polepole hajwahi kuwa kuwa smart. Ni kwamba anakuwa upande mrahisi. Issue ya katiba ilikuwa sensitive kwa watz kiasi cha kufanya watz waone upande mzuri tuu wa polepole.Na hii ndio shida ya waafrica na wenzao wa asia. Hisia za umma wa huwa very biased, ukiwa kizuri wana switch off sensor zote za upande wako mbaya, hata km huo ubaya ni ubaya haswa in the sense kwamba una madhara ya mbaya yasiyozibika. Tatizo kubwa ni hao wanaobebwa na hizo hisia kutojitambua kwamba hisia ndio zimewapa free ride na hivyo wanahitajika kujiongeza na kujiweka ktk mazingira ya kuishi bila huko kubebwa. Ndio maana ni kawaida sana, mtu aliyepata degree za kihuni kujisifu kwa vyeti, badala ya kujiongeza na kupambana ili kuziba mapungufu ya elimu yake.
 
Polepole ni babu, hivyo mambo mengine ni kumsamehe.
Km amekosa sheria ndio zinaamua km kuna msamaha, ila sio hisia na maono binafsi.Km hana kosa basi hana cha kuhitaji msamaha.
 
Salary Slip,
Nakuunga mkono kwa kuliona hilo. Nilichogundua ni kwamba, Mange Kimambi (kama non state actor) huwa anakuwa na information ambazo ni valid na huwa zinaigusa serikali. Swali langu ni kwanini awe anajibiwa kwa kukanushwa tu na mtu yeyote? Why not the government? Kwani ulinzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni tangu lini likawa swala la chama hata kama ni tawala? Kwanini Polepole asiwe anatafakari ni lipi ajibu na lipi lijibiwe na serikali? Anapoibuka kujibu na huku anasema chama kazi yake ni kuiwajibisha serikali, ni vipi ataiwajibisha serikali anayoisaidia kuitolea majibu? Nafikiri kuna shida mahali fulani kama siyo hulka ya kujipendekeza inayomea miongoni mwa watanzania kwa koti la uzalendo wa kinafiki.
Mkuu huyu kijana sijui mzee!Tangia alipotenda dhambi ya kuwakana watanzania na kuikana nafsi yake kwa kuirudia sisiemu,nataka kuamini kuwa hajielewi tena!Huyu si yule aliyekua anatoa na kutetea hoja wakati wa bunge la katiba hadi unatamani kumpigia makofi hata kama hakuoni wala kukusikia!hajitambui tena huyu!!!!!!!!!!!!!
 
Naombeni mnisaidie kunijulisha kiongozi mkubwa tuliyeahidiwa na Polepole anahamia ssm

Sent using Jamii Forums mobile app
Gharama ya kumpata,inatosha kuwapa CCM hasara kubwa sana.Gharama ya kumpata Zitto, Dr. Slaa na le profeseli ambaye hakuna project anayoweza fanya kwa ufanisi under minimimum supervision ,ukilinganisha na ccm wanadhani ni faida ndipo utapoona jinsi ccm wanafanya kazi za hasara halafu bill kwa wananchi. Ikifikia mahali mananchi hawawezi lipa hizi hasara CCM haitoweza jiokoa tena.Kwa vile wananchi hata ukiwauwa hawana tena cha kuipa ccm. Huwezi kuwa na kibaraka ktk upinzani ambaye unahitaji polisi mfiisha eneo la kazi, unahitaji kila mamlaka kufanya nae kazi ili akupe faida kiduchu. Sasa si bora ufanye kazi mwenyewe tuu?Mtu haaminiki.

CONCEPT YA KUWA NA MFANYAKAZI ANAYEWEZA FANYA KAZI CHINI YA UANGALIZI MDOGO AU BILA UNGALIZI KABISA NI ILI WEWE USIFANYE KAZI.KM WEWE UNATAKIWA SITE NA WEWE KILA MARA UHITAJIKE KUSHIKA CHEPE ILI UFANYE KITU CHA KUWEZA MUONYESHA KIBARUA JINSI YA KUFANYA UA HATA ILI UOKOE MUDA.NI BORA usiajiri.
 
Vichwa vya Ufipa Francis12, nicholoaus , Salary Slip, wazee wa kuanzisha thread zimejaaa daily. We Salary Slip utakuwa bwana Kilewo maana akili zenu zinafanana. Yaani mnataka huyo mropokaji ajibiwe na Angela Kairuki ndo nafsi zenu zitapoa. Serikali haiwezi kukaa ikakijibu kimtu ambacho kinashinda tu mtandaoni mpaka kinasahau kupikia watoto hata kazi hakina. Hata Kigwangala nilikuwa namshangaa alikuwa anapoteza muda na kujadiliana na watu ambao neno majadiliano hawalijui. Hako kabibi mtu akimpinga tu anakula block sasa akili ya wapi hiyo halafu ndo kanalilia freedom of speech lakini hakapo tayari kusikia mawazo tofauti na yake. Kanatumia blackmail ya kuwazalilisha watu halafu kuna mpuuzi mmoja anathubutu kukaita kana akili. Ukiwa na akili timamu huwezi ukaamini ujinga wa kusema walinzi eti wanyarwnda. Mbona mnaendekeza ujinga hivyo kwa hoja nyepesi? Mmebaki kujadili tu uzushii na petty issues.
 
Back
Top Bottom