elia maholi
Member
- Feb 10, 2017
- 48
- 33
Binafsi nilitegemea mshitakiwa namba 1 wa mahakama ya mafisadi angekuwa yeye, hadi sasa bado mnafanya pologanda? fanyeni kazi watanzania tumeshaelewa, hapa kazi tu majungu mwisho, kama mwizi mahakama zenu polisi wenu majaji wenu bado mnapiga kelele tu, fanyeni kazi bana kama kazi imewashinda pisheni.