RAGNAR LOTH
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 698
- 1,589
Vichaa / Wehu / Wasiojihurumia kama ambavyo tumezoea kuwaita ndio wanaoifanya hii dunia ikasogea mbele. Amini usiamini kama hujawahi kufanya jambo ambalo kila mtu wa pembeni yako akakuona unaenda kujimaliza / hutatoka mzima, bado hujaishi Joh, " You are still dwelling in your comfort zone".
Chunguza watu waliofanya wonders in life, they sacrificed their lives, reputation, even their parent's trust. Kama wewe kila ulichokifanya nyomi iliyoko nyuma yako ilikupa support bado hufai kujiita successful man/woman. Successfully people are few, Minority na sio Majority.
Kuna watu wanachukua maamuzi ya kuacha kazi hali wakiwa mifuko mitupu kabisa. Mtu kama huyo akija hapa akaomba ushauri " Nataka niache kazi nijiajiri ila sina hata mia mfukoni ". Majority ya comments atakazopata hapa ni kumuona mpumbavu na mtoto na asiye na life experience. Atatahadharishwa kuisoma number hadi akome.
KWA NINI? Kwa sababu wanaomshauri hawajawahi ku take risk kama hizo, they are doing nathing rather than Screaming., Hawajawahi kuwa risk takers.
Kuna watu waliamua kuahirisha kama sio kuacha kabisa masomo yao ya elimu ya juu hali wakiwa hawana kitu kwenye mifuko yao, hawakujua wangeanzia wapi, lakini leo hii ndio madereva wa hii dunia..
Believe me or not asikudanganye mtu akakwambia Jiajiri huku umeajiriwa huyo ni screamer not a risk taker.
Failure zipo kila mahali, kila siku,kwa kila mtu, they are "Inevitable". Ukianguka ukalala hapo ndo pana tatizo. Kila mtu keshafeli kwa kitu fulani hata unaowaona wamefanikiwa walishafeli mara nyingi mno asikwambie mtu. The road to success is rough x 100 Joh, and only few dare to take.
Nimeamua kuanzisha huu uzi ku share mastory za kujilipua kimaisha kuwapa courage wale wote wanaotaka kuchukua maamuzi magumu in life. Wazamiaji wa mamtoni, waacha vyuo/shule kama mimi, waacha kazi, waliofukuzwa makwao na wengineo ili risk takers msijiskie wapweke au mko wenyewe.
"Taking risk is the quickest way".
Chunguza watu waliofanya wonders in life, they sacrificed their lives, reputation, even their parent's trust. Kama wewe kila ulichokifanya nyomi iliyoko nyuma yako ilikupa support bado hufai kujiita successful man/woman. Successfully people are few, Minority na sio Majority.
Kuna watu wanachukua maamuzi ya kuacha kazi hali wakiwa mifuko mitupu kabisa. Mtu kama huyo akija hapa akaomba ushauri " Nataka niache kazi nijiajiri ila sina hata mia mfukoni ". Majority ya comments atakazopata hapa ni kumuona mpumbavu na mtoto na asiye na life experience. Atatahadharishwa kuisoma number hadi akome.
KWA NINI? Kwa sababu wanaomshauri hawajawahi ku take risk kama hizo, they are doing nathing rather than Screaming., Hawajawahi kuwa risk takers.
Kuna watu waliamua kuahirisha kama sio kuacha kabisa masomo yao ya elimu ya juu hali wakiwa hawana kitu kwenye mifuko yao, hawakujua wangeanzia wapi, lakini leo hii ndio madereva wa hii dunia..
Believe me or not asikudanganye mtu akakwambia Jiajiri huku umeajiriwa huyo ni screamer not a risk taker.
Failure zipo kila mahali, kila siku,kwa kila mtu, they are "Inevitable". Ukianguka ukalala hapo ndo pana tatizo. Kila mtu keshafeli kwa kitu fulani hata unaowaona wamefanikiwa walishafeli mara nyingi mno asikwambie mtu. The road to success is rough x 100 Joh, and only few dare to take.
Nimeamua kuanzisha huu uzi ku share mastory za kujilipua kimaisha kuwapa courage wale wote wanaotaka kuchukua maamuzi magumu in life. Wazamiaji wa mamtoni, waacha vyuo/shule kama mimi, waacha kazi, waliofukuzwa makwao na wengineo ili risk takers msijiskie wapweke au mko wenyewe.
"Taking risk is the quickest way".
Nashauri kwenye uzi huu tuelimishane na kushauriana kuhsu hili swala "Taking risk" mana wengine watakuwa hawaelewi,
Mtu asije akakurupuka tu akaacha kazi au shule bila kujua yeye anapenda nn au anataka nn ktk maisha yake....
Taking Risk is very Risk indeed, na inakuwaga na matokeo mazuri baadae ikiwa mtake Risk anajua anachofanha otherwise watu watalia...
Sio kama nawatisha wale ambao bado hawajaingia kwenye hii Saga NO....am just trying to give out a light,
Moja ya faida ambayo imenifanya nienjoy kutake Risk ni kuwa huru na furaha na nnachokifanya, for i know where im coming from...where i am...and where i will be,
Tushauriane, tupeane changamoto na jinsi ya kuzikabili.
Nipo tayar kukosolewa hapa pia...
Nakumbuka mwaka 2003 mdogo wangu alipata division 1 point 8....mshua alifurahi sana sana...cha ajabu alikataa kuendelea na shul ...huku na huku vikao vingi kwake mpaka wazee wa kanisa, kachomoa hataki shule....akafukuzwa dogo kakimbilia zambia baadae congo...
kwa sasa ni muuza madini na anatenda za machinery aina mbal mbal nchin zambia na congo...
Mm nina degree Mavi matupu nimebaki baraka ya kumuomba omba pesa mara ooh dogo mara vile .....na mwakan anasema anarudi shule sema atasomea marekani
maisha haya acha tu..........
Nataka anza biashara ya mabucha mjini hapa,kuna vitu hela unaziona kabisa halafu unakuwa tu mkaidi kuzifuata
Nimegundua kila mradi ambao huwa nawaza nikikaa siku chache sana nakuta mradi uleule sehemu ileile plani ile ile Kuna mtu kaanzisha,nikaja kujitathmini kuwa Mimi Nina mawazo sana ninachoshindwa ni kuchukua hatua tu,sasa nimekata shauri kuwa sahivi basi naanza kufanya mwenyewe,Uzi huu nitakuja ufufua mwaka mmoja toka Leo note 8-8
Sent From fx.991
SIO KILA RISK TAKER ANAFANIKIWA MKUU,
KUNA MTU ALIRISK AKACHUKUA KIASI KIKUBWA CHA HELA AKAENDA KUHONGA WATU ILI WAMCHAGUE MTU FLANI BAADAE APIGE HELA NYINGI KAMA AKIPITA LAKINI TANGU SIKU ILE MAMBO SI MAMBO, MARA HELA IMEKAMATWA KABLA YA KUGAWIWA ,MARA BIASHARA YAKE HII INA SHIDA..........LEO YUPO JELA NA BIASHARA INAYUMBA.
ILA YOTE KWA YOTE RISK TAKER NI UJASIRI KATIKA KUTAFUTA MAFANIKIO KULIKO WAOGA KATIKA KUTAFUTA MAFANIKIO
NI miaka 6 sasa toka nilipofaulu baba yangu akakataa kunilipia Ada niende advance akadai hawez poteza pesa zake kwa mwanamke kama vipi niolewe tu.nikiwa Na miaka 19. Niliteseka huku Na kule kuishi Kwa ndugu bila future. Mungu siyo Athumani ikawa ilivyokuwa sasa hivi ananiona kama Mkombozi wa ukoo wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namengi sana ya kushare....still nipo kwenye progress at times nakaa natoa chozi peke angu lakini naamini mambo lazima yawe mazuri very soon....ndugu walinigeuka, shule nilikataa nkaenda chuo, chuo nkafukuzwa home wakapata sababu ya kusema too bad nkarudi home week ya kwanza ukatokea msala mekaa kwenye pool table jion nina mawazo kibao gafla tukakamatwa tukatiwa sero, ndugu wakazidi kusema.....kwa sasa atleast kuna baadhi ya ndugu washaanza kunipigia simu na kuniomba chchte....am still fighting for my own...i hope a year ahead i will be somewhere....nkiwa na elimu yangu ndogo kwani chuo nliona upuuzi tu, mtaani kuna fursa sana tu.... A year ahead ntakuja kueleza ni nini nliamua kufanya na hatua gani nlizopiga....i remember kuna maamuzi ya risk nshawah kufanya mpaka leo sijutii hata kidogo.