Recent content by Kiroga

  1. Kiroga

    Biashara ya salon imemshinda, mdada anauza vifaa vyake

    Nipe namba yako ya cm nikupigie, Niko serious
  2. Kiroga

    Dereva wa ARUSHA EXPRESS ya Arusha - Mbeya Marcopolo nyeupe atakuwa anakula bangi. Polisi njia nzima 'no camera'

    Madereva wa Arusha Exp ni mahiri sana, ni wewe tu Na uoga wako, Mimi kila siku napanda, hakuna shida kabisa Na tunafikishwa salama. Acha uoga.
  3. Kiroga

    Baba, Mama pamoja na watoto wote ni marubani

    Babu Kambale ndevu, bibi Kambale ndevu, watoto ndevu, wajukuu ndevu. Inapendeza. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Kiroga

    UJAMBAZI: Magari yote yenye tinted yapigwa marufuku na Polisi jijini Dar

    Nakubaliana Na kamanda kwa wale walioweka tinted, swali je Yale magari yaliyotoka ulaya Na Vioo tinted ( sio za kuweka za nylon) je itakuwaje? Naomba nielimishwe. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Kiroga

    UJAMBAZI: Magari yote yenye tinted yapigwa marufuku na Polisi jijini Dar

    Nakubaliana Na kamanda kwa wale walioweka tinted, sasa nauliza je yale magarin Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Kiroga

    Diallo amesema hawezi kuwalaumu TRA kwa Kufunga shughuli za Sahara Media

    Wakuu Nina swali. Je sisi tulokuwa wateja wake katika TV ambapo tulilipia ving'amuzi vyake inakuwaje? Tangu Jana tunaangalia BBC tu Na pesa yetu iko kwake. Na hivi ving'amuzi tuvipeleke wapi? Tcra tupeni jibu. Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
  7. Kiroga

    Smartwatch 2017

    Ninahitaji hiyo smart watch, lakini Mimi Niko Moshi, je nitapataje?
  8. Kiroga

    Niuzie dekoda ya continental

    Weka mawasiliano yako, tuongee
  9. Kiroga

    Hivi decoder ya continental kwa sasa ina ubora?

    Mi nilikuwa na cha antena, kikawa kinazingua kila siku, nikaenda ofisini kwao wakanishauri ninunue cha dish, nacho ni mzinguo full time, sasa Niko na Azam, ni poa sana. Hivi vya continental nataka gawa bure kwa atakaeniomba mwanzo.
  10. Kiroga

    Tukutane hapa wapenda music wenye asili ya Congo

    Moperoo wa maloba, Matadidi Mabelee bwana Kitoko, Loko Masengo, Sinatra, Nzaya Nzayadio
  11. Kiroga

    Wapare, Wahaya, Wajita: Kabila gani wanapenda sifa sana?

    Muhaya ni mwisho, hasa awe msomire utachoka.
  12. Kiroga

    Jinsi ya Kuepuka Kuibiwa Mafuta Unapojaza.....

    Kuna petrol stn ukifika tu wanakuja wahudumu hasa wa kike na kukuchangamkia kama wanakujua, mwingine anakukinga usione reading ya meter. Mi imeshanitokea lakini toka wakati huo nashuka kwenye gari, ukipepesa jicho wafa.
  13. Kiroga

    Kuendesha gari na sandles kwa traffic ni kosa?

    Ni kosa, na lipo kisheria kabisa. Kwa sababu wakati unakanyaga brake/ clutch au accelerator mguu unaweza ukatoka kwenye sandali na kusababisha ajali.
  14. Kiroga

    TRA ifute usajili magari yasiyolipa mfulilizo Road Licence miaka 3

    Nakuunga mkono na miguu. Katika watz mil 45 wewe una busara sana. Hilo litekelezwe Mara moja
  15. Kiroga

    Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

    Hiyo habahatishi, ni kweli alikwenda front. Mimi nilikuwa 10 majeshi toka Shy, sasa kuna WO 2 anaitwa Sancho alikuwa anachekesha sana, alikuwa mkurya halafu kiswahili kwake shida, hajasoma lakini alikuwa NATO kinoma. Akivaa Canadian combat na vimbwanga Vingi, SMG, pistol, hand grenade, panga...
Back
Top Bottom