Wanajamvi, natumai mnaendelea salama na mapambano ya kila siku. Leo nimekutana na rafiki yangu ambaye alikuwa ni mfanyakazi katika taasisi moja ya serikali. Akaja akapata changamoto kazini akasimamishwa kazi kupisha uchunguzi huku ishu yao ikipelekwa polisi kwa uchunguzi zaidi.
Cha kushangaza...
nimecheka kama mazuri kaka kumbe T.O ina maana nyingi sio Tanzania one tu hata Transport officer pia ni kirefu chake, wabongo noma , weka picha tu caption wataweka wenyewe
upepo wa kisulisuli umekukumba kwa kija Joyce usikatae baraka hizo huwezi kula kama hujaliwa, unataka kula papuchi wakati hutaki kutoa pesa ya kusukia nywele
kwa Bwana kila goti litapigwa. Bwana ametoa Bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe. Mwanga wa milele umuangazie mzee wetu na Mwanamageuzi halisi aliyeasisi chama cha Kamahuru kilichounganishwa kikawa CUF
certified Public Accountant ni elimu ya juu kwa muhasibu na inamtambulisha muhasibu katika ulimwengu wa wahasibu mara baada ya kumaliza degree na/ au MAsters au PostGraduate. Ukiwa na hiki cheti kwa upande wa muhasibu na ukipata kzi katika taasisi ambayo inathamini elimu na mfanyakazi basi jua...
Ukiwa na degree unaweza kutumia cheti chako cha degree kusomea uhasibu ila kwa vile ni semi accounting degree utaanzia diploma sawa na mwanafunzi wa form six ambaye hakufaulu vizuri ila unaweza kabisa na kama ndio ndoto yako wala usiwaze anza mchakat mapema ingawa na kozi yenyewe ya uhasibu kwa...
inawezekana mama akishamaliza kumnyonyesha asubuhi anakamua maziwa yake na kuyaweka kwenye friji kisha anapewa mtoto baadaye na isitoshe kwa mama mwenye mtoto huwa anafanya kazi nusu siku kwa hiyo atawahi kumnyonyesha mtoto. Niliwahi kusikia uji mwepesi wa unga wa muhigo ni mzuri sana kwamtoto...
Maswali yako yote hayana majibu kwa mtu ambaye ni muelewa na sababu za kukosa majibu ni kama ifuatavyo
1: Mwanafunzi anapojiunga na shule lazima apewe joining instruction ambayo itaeleza taratibu zote za shule na lazima isainiwe na mwanafunzi pamoja na mzazi , sasa inakuwaje mzazi anampa...
Likizo ilikuwa inatoka ila ukitaka kwenda likizo nje ya nchi lazima upate kibali toka serikalini cha kusafiri vinginevyo unarudishwa airport kama wale wakurugenzi wa PCCB na mashtaka juu wakafunguliwa na ndani wakakaa. Nadhani kuna walichojifunza juu ya hili katazo lao ila kubwa kuomba Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.