Habari wakuu?
Nahitaji smartphone nzuri affordable isiyozidi laki Tano inayoweza kutunza charge angalau kwa saa 30 au zaidi
Nimeambiwa simu zenue betri ya 7000mHA zinakaa na charge ikiwepo Motorola G6 Power na Oppo Reno.
Naomba ushauri wenu kwa mwenye uzoefu.
Budget yangu ni 500,000/
Kisayansi anayeamua jinsia ya mtoto ni mbegu za baba
Hata ukitoka nje usishangae unapata tena wa kike
Ni Bora ukaenda hospitali au ukafuata kale da labda unaweza kufanikiwa
All in all mtoto ni mtoto wape elimu nzuri hao mabinti huku ukimshirikisha Mungu ile wakulee vizuri ktk uzee wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.