Recent content by KiparaJ

  1. KiparaJ

    Motorola G6 Power vs Oppo Reno

    Habari wakuu? Nahitaji smartphone nzuri affordable isiyozidi laki Tano inayoweza kutunza charge angalau kwa saa 30 au zaidi Nimeambiwa simu zenue betri ya 7000mHA zinakaa na charge ikiwepo Motorola G6 Power na Oppo Reno. Naomba ushauri wenu kwa mwenye uzoefu. Budget yangu ni 500,000/
  2. KiparaJ

    Punguza Tumbo na Mafuta Mwilini

    Inauzwaje nataka nipunguze tumbo asee
  3. KiparaJ

    Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Kisayansi anayeamua jinsia ya mtoto ni mbegu za baba Hata ukitoka nje usishangae unapata tena wa kike Ni Bora ukaenda hospitali au ukafuata kale da labda unaweza kufanikiwa All in all mtoto ni mtoto wape elimu nzuri hao mabinti huku ukimshirikisha Mungu ile wakulee vizuri ktk uzee wako
Back
Top Bottom