Recent content by KiparaJ

  1. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu ulaji wa dawa za presha

    Pressure ikakaa vizuri kwa muda mrefu unaacha kutumia ila unatakiwa uwe na utaratibu wa kuangalia maendeleo ya pressure yako mara kwa mara ili ikionyesha kuanza kupanda unaishusha tena kwa dawa. Lakini usiogope ukiambiwa maisha yako yote maana unaweza kuyapoteza maisha kwa kukataa kutumia dawa
  2. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kuondoa channel ya ZBC kwenye DSTV,

    Kwenye receiver yako chagua favourite channels ambazo unazitazama mara kwa mara ili ukiwasha TV yako nenda kwenye Favorite channels ambazo hiyo itakuwa haipo
  3. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu kanogewa kukaa kwangu. Kamaliza chuo 2020 lakini haondoki, nifanyeje?

    Kwa kuwa ni mwanaume mwenzio ongeza naye kiume sio kama shemeji yake kama ni mwelewa atakurlewa lakini pia waweza kuongea na dada yake(mkeo) amwambie aanze kujipanga kivyake umri umesonga.
  4. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kitatokea iwapo jogoo la kuku likampanda kanga jike ama bata jike vipi kuhusu Tausi pia?

    Mkuu binafsi ni shuhuda wa wa hili Nafuga kuku na kanga na walikuwa wanaishi pamoja niligundua kuwa wanapandana baada ya kutotolesha mayai kadhaa wakatoka kuku hawaeleweki kama ni kuku au kanga maana miguu ya kuku kichwa cha kanga manyoya kama ya kuku shingo ndefu kama kanga Alafu hata mlio...
  5. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa: Watu wanakuhitaji pale tu wanafaidika na wewe

    Kama Bashe ni mnyamwezi wa Nzega,Stagomena Tax ni Msukuma wa Sumve,Rostam ni Mnyamwezi wa Nzega,Zungu Mzaramo wa Kisiju inashindikakanaje mama Magu kuwa msukuma wa Sengerema?
  6. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa: Watu wanakuhitaji pale tu wanafaidika na wewe

    Mama Maagufuli ni msukuma wa Sengerema Msigwa ni Mhehe wa Iringa Imekaaje hiii?
  7. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Kwenye mambo ya wakubwa nilikuwa sirdhiki mpk vitatu niligundua kuwa nimezeeka baada ya kulazimisha cha tatu nikaishia njiani baada ya pumzi kukata Kwisha habari yangu asee
  8. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Motorola G6 Power vs Oppo Reno

    Hii simu nimeifuatilia Iko poa kwa mtumiaji wa kiwango cha kati
  9. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Motorola G6 Power vs Oppo Reno

    Habari wakuu? Nahitaji smartphone nzuri affordable isiyozidi laki Tano inayoweza kutunza charge angalau kwa saa 30 au zaidi Nimeambiwa simu zenue betri ya 7000mHA zinakaa na charge ikiwepo Motorola G6 Power na Oppo Reno. Naomba ushauri wenu kwa mwenye uzoefu. Budget yangu ni 500,000/
  10. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Punguza tumbo na mafuta mwilini

    Inauzwaje nataka nipunguze tumbo asee
  11. KiparaJ

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Kisayansi anayeamua jinsia ya mtoto ni mbegu za baba Hata ukitoka nje usishangae unapata tena wa kike Ni Bora ukaenda hospitali au ukafuata kale da labda unaweza kufanikiwa All in all mtoto ni mtoto wape elimu nzuri hao mabinti huku ukimshirikisha Mungu ile wakulee vizuri ktk uzee wako
Back
Top Bottom