Pressure ikakaa vizuri kwa muda mrefu unaacha kutumia ila unatakiwa uwe na utaratibu wa kuangalia maendeleo ya pressure yako mara kwa mara ili ikionyesha kuanza kupanda unaishusha tena kwa dawa.
Lakini usiogope ukiambiwa maisha yako yote maana unaweza kuyapoteza maisha kwa kukataa kutumia dawa
Kwenye receiver yako chagua favourite channels ambazo unazitazama mara kwa mara ili ukiwasha TV yako nenda kwenye Favorite channels ambazo hiyo itakuwa haipo
Kwa kuwa ni mwanaume mwenzio ongeza naye kiume sio kama shemeji yake kama ni mwelewa atakurlewa lakini pia waweza kuongea na dada yake(mkeo)
amwambie aanze kujipanga kivyake umri umesonga.
Mkuu binafsi ni shuhuda wa wa hili
Nafuga kuku na kanga na walikuwa wanaishi pamoja niligundua kuwa wanapandana baada ya kutotolesha mayai kadhaa wakatoka kuku hawaeleweki kama ni kuku au kanga maana miguu ya kuku kichwa cha kanga manyoya kama ya kuku shingo ndefu kama kanga
Alafu hata mlio...
Kama Bashe ni mnyamwezi wa Nzega,Stagomena Tax ni Msukuma wa Sumve,Rostam ni Mnyamwezi wa Nzega,Zungu Mzaramo wa Kisiju inashindikakanaje mama Magu kuwa msukuma wa Sengerema?
Kwenye mambo ya wakubwa nilikuwa sirdhiki mpk vitatu niligundua kuwa nimezeeka baada ya kulazimisha cha tatu nikaishia njiani baada ya
pumzi kukata
Kwisha habari yangu asee
Habari wakuu?
Nahitaji smartphone nzuri affordable isiyozidi laki Tano inayoweza kutunza charge angalau kwa saa 30 au zaidi
Nimeambiwa simu zenue betri ya 7000mHA zinakaa na charge ikiwepo Motorola G6 Power na Oppo Reno.
Naomba ushauri wenu kwa mwenye uzoefu.
Budget yangu ni 500,000/
Kisayansi anayeamua jinsia ya mtoto ni mbegu za baba
Hata ukitoka nje usishangae unapata tena wa kike
Ni Bora ukaenda hospitali au ukafuata kale da labda unaweza kufanikiwa
All in all mtoto ni mtoto wape elimu nzuri hao mabinti huku ukimshirikisha Mungu ile wakulee vizuri ktk uzee wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.