Naomba usaidizi: Uume hausimami

Naomba usaidizi: Uume hausimami

Nilijua zipo, kwani mkuu usiposimama anapata shida gani?
Mkuu sema wewe ni 'sex f' huwezi jua fedheha itokanayo.

Fikiria mtu umeuza nyumba ama gari ukahonga, halafu ngoma ikasanda kusimama, kisaikolojia imekaaje hiyo?
 
Kula vyakula vya asili pia fanya mazoezi, kunywa maji, na pata usingizi(8HRS) kingine usiruhusu stress zikutawale hata kama huna pesa au ramani.
 
Back
Top Bottom