Upuuzi mtupu kutoka kwa ngozi nyeusi. Hivi ni dawa gani iligundulika kwa weusi hata huko Western world?Kuna kipindi tulitangaziwa ugunduzi wa dawa ya Tezi uliofanywa na wanafunzi wa St John University Dodoma.
Serkali nayo ikaipigia debe kuwa dawa hiyo ni suluhisho la maradhi hayo maana haiitaji upasuaji
Ila baada ya hapo haikusikika tena iliishia wapi?
ULE ULIKUWA UTAPELI.Kuna kipindi tulitangaziwa ugunduzi wa dawa ya Tezi uliofanywa na wanafunzi wa St John University Dodoma.
Serkali nayo ikaipigia debe kuwa dawa hiyo ni suluhisho la maradhi hayo maana haiitaji upasuaji
Ila baada ya hapo haikusikika tena iliishia wapi?
Mimi bado nasubiria ile dawa ya kipara iliyotangazwa na TFDA sijui nani wale....Kuna kipindi tulitangaziwa ugunduzi wa dawa ya Tezi uliofanywa na wanafunzi wa St John University Dodoma.
Serkali nayo ikaipigia debe kuwa dawa hiyo ni suluhisho la maradhi hayo maana haiitaji upasuaji
Ila baada ya hapo haikusikika tena iliishia wapi?
Wengi tu.Upuuzi mtupu kutoka kwa ngozi nyeusi. Hivi ni dawa gani iligundulika kwa weusi hata huko Western world?
Prompt AI yeyote au Google "what medicine was discovered by a black person"Upuuzi mtupu kutoka kwa ngozi nyeusi. Hivi ni dawa gani iligundulika kwa weusi hata huko Western world?
Kiboko ya tezi Dume ni nuclear medicineKuna kipindi tulitangaziwa ugunduzi wa dawa ya Tezi uliofanywa na wanafunzi wa St John University Dodoma.
Serkali nayo ikaipigia debe kuwa dawa hiyo ni suluhisho la maradhi hayo maana haiitaji upasuaji
Ila baada ya hapo haikusikika tena iliishia wapi?
Kipara changu mimi nakipenda kwanza hakiniumi,hakiniwashi alafu wife anaenda kukichezea muda wote nikiotesha nywele nitavunja ndoaMimi bado nasubiria ile dawa ya kipara iliyotangazwa na TFDA sijui nani wale....
Kwako Mr. KiparaJ na kipara feki