HGs wa iringa balaa, Usiku wanatoweka vyumban! Jaman nowdays hawa watu wameingilia na shetwan. Nimekata tamaa nao!. Glory be to God watoto wangu wazima.
daah,ningekuwa J*kwete ningechukua makabrasha fasta na kurudi tz muda huohuo. Hzo ni dharau. Ningefika na kuadress bunge fasta juu ya matusi ya kamerun na hatua gan tujiandae nazo kupinga udhalilishwaji.
Wanajf mabadiliko haya nimeyaona kwa mwaka sasa, toka alivyoanza biashara ya duka la jumla, baada ya six months alianza kutingwa sana na kaz, na kwa miez hii minne ndo balaa tupu. Mara nying mech inachezwa upande mmoja! Leo nimelala mbeya kikaz lakn sijatulia kabisa kiakili!, mke wangu ananipa shda.
Asante kwa ushaur RR, nimevumilia sana kuhusu tabia yake hii lakn mara nyng huwa anacheka,na kusema, pesa hajapata bado, ina maana yy kwake pesa ndo anataka. Niliwah kwenda kwa mshaur wetu kuhusu hili akaja siku moja home kuongea nasi, lakn mwenzangu alimaind sana, akasema hatak kufundisha jinsi...
jaman network searchng....., available, searchn............., jaman wanawake wafanyabiashara ni balaa tupu! Simu haizimwi,nimechoka naye, ugomv wetu ni cmu, uko uwanjan hajal ni kona, goalkick, au ...yeye utackia kesho utawah folen ya sukari?, viroba leta nane!,jaman inatisha, ugomvi unaanza...
aisee yaan jana nilipita maeneo ya kindoroko,soko la kati Mjini mosh, nikakuta bonge la vurugu, nikasogea kwa fund cherehan nikauliza kulikon? Akaniambia SUKARI inauzwa hyo. Tpc wako 10km toka eneo hilo.kwel serikali yetu haijali raia wake!
umenikumbusha Kanta,ilikuwa balaa,mpaka leo nikiangalia uso wangu nakumbuka sekeseke!, unapewa tsh 5, uende chanji kuleta sukar 1kg, na maandiz mfuko! We acha tu. Niliwapelekea mchanga kama 2kg hv, jamaa walishuka ka mvua kutoka kwenye vitanda juu, nilipokea kichwa cha mgosi mmoja,mpaka leo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.