Maiti tisa za mauaji yaliyofanywa na polisi leo Mbeya ziko mochwari

Mpaka muda huu wa saa tatu usiku imetangazwa hali ya hatari watu hawatakiwi kuonekana wakitembea nje,hataria kabisa!
 
Sheet...tisa tu?...!!
tena nahisi MMkwere na Mwema watakuwa wameuwa zaidi ya hao yaani ni zaidi ya15 risasi za moto zimepigwa mchana kutwa tena ovyo ovyo
wana wa nchii 11.11.2011 historia imeandikwa kichani mwa wana mbeya, hasira ni juu ya serikali na Kandoro wake
 
Wafanye fujo wao, wavunje mali za watu wao, wakiambiwa tulieni warushe mawe waumize watu wakidhibitiwa "oohh ccm" nyie vipi nyie? wale walikuwa na sababu ipi ya kuandamana na kufanya fujo? kama si kuwa na nia ya kudhuru watu na kuharibu mali za watu?

HTTP 302 redirect.
 
TBC wamenishangaza sana kwenye taarifa yao ya habari(redio), badala ya kutuambia kilichojiri na maafa yaliyotokea, wanatanga maazimio ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Mbeya. Aibu tupu.

Yani baada ya kusikia mwenendo wao na taarifa niliokuwa nayo nikazima mazima. Upupu mtupu na ni heri isiwepo hewani.
 
Kamata askari wanaoishi uraiani chinjeni hii haikubaliki hata kidogo wananchi wakidai haki zao wanavunja sheria polisi wakiua raia wanadumisha sheria watanzani mwisho wa kunyanyaswa ndani ya nchi yetu umefika tukatae kwa nguvu zote polisi ni kwa ajili ya ccm tusiwategemee tujitetee wenyewe
 
Watu tisa waliouawa leo wako kwenye mochwari ya Rufaa.
Polisi mpaka muda huu wamekaa kimya wakati ni wao waliowaua kwa risasi. Nimezipiga maiti hizo picha kwa camera ya simu ndo maana sijaziatach, kesho zitakuwa hewani
Asee, hebu nitumie mimi baba gilesi hizo photoz nizipachike hapa bana!! acha uhuni bana.
 
Ocampo huko wapi sikia kilio chetu okampo leta bahasha okampo huku tanzania kenya ushawaonyesha fanya hivyo na kwetu
 
Nafikiri Jeshi la Polisi na Serikali ya Chama cha Mapinduzi bado hakijashtukia kuwa kwa sasa risasi na mabomu ya machozi hayawezi kutuliza wananchi.Watapiga sana wananchi kwa sasa...tutasikia mkoa mmoja baada ya mwingine watu wakiandamana na kujipanda kupinga udhalimu wa serikali ya CCM.Tutafika...
 
Nafikiri Jeshi la Polisi na Serikali ya Chama cha Mapinduzi bado hakijashtukia kuwa kwa sasa risasi na mabomu ya machozi hayawezi kutuliza wananchi.Watapiga sana wananchi kwa sasa...tutasikia mkoa mmoja baada ya mwingine watu wakiandamana na kujipanda kupinga udhalimu wa serikali ya CCM.Tutafika...

gwenga!
 
FaizaFoxy,
Nimesikitika dadangu kuwa unaunga mkono haya mauaji, ETI wangefanyaje?
Najua unajua chanzo cha hili tatizo, lakini kwa sababu unawazia chama chako basi kila kitu ni sahihi,
Ingekuwaje kama maskini hawa wangeoneshwa sehemu mbadala ya kufanyia biashara zao? Wangeandamana?
Ingekuwaje kama serikali hii ingekaa nao na kufanya mapatano? Wangefanya fujo?
Ingekuwaje kama kaka yako angekuwa mmoja wa hawa maskini machinga alieuawa? Ingekuchekesha?
Think twice madam, muda mwingine unakuwa na hoja za maana lakini saa nyingine UNACHEKESHA sana.
 
Wafanye fujo wao, wavunje mali za watu wao, wakiambiwa tulieni warushe mawe waumize watu wakidhibitiwa "oohh ccm" nyie vipi nyie? wale walikuwa na sababu ipi ya kuandamana na kufanya fujo? kama si kuwa na nia ya kudhuru watu na kuharibu mali za watu?
"TUSI" Weeee...
 
Eti Mbeya kuna nini?utaka kuniambia watu tisa wamepigwa risasi?polisi hili kama mmelifanya nanyi litawakuta,mtake msitake,mimi binafsi nawaombea balla zote duniani ziwapate,yaani mmepiga watu tisa risasi za moto?nakumbusha tena usemi wangu hapa jukwaani,Mungu haja lala!
 
Hivi wewe ff una akili kichwani kwako au kamasi???? Mungu akusamehe
 
Wafanye fujo wao, wavunje mali za watu wao, wakiambiwa tulieni warushe mawe waumize watu wakidhibitiwa "oohh ccm" nyie vipi nyie? wale walikuwa na sababu ipi ya kuandamana na kufanya fujo? kama si kuwa na nia ya kudhuru watu na kuharibu mali za watu?

nimeoteshwa usiku huu kifo chako kitakua kama cha mjomba wako gaddafi!
 
ngoja nimp ocambo, adabu cku hz hakuna ndan ya vyombo vya dola.

Mkuu wanamwandaa Chande aingie ICC kuwalinda viongozi wetu. Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo, Chande akipata ujue afanywi kitu mtu hapo labda wenyewe tupeane adabu. Lakini kwa jinsi mzungu anavyofaidi mali zetu, Chande anaweza kupata.
 
Back
Top Bottom