Wakata anabakwa hakukuwa na watu hapo nyumban? Alijaribu vp kuzuia asibakwe? Alipiga kelele? Alibakiwa wap? Kutoka alipokuwa mpaka alipobakiwa alitumia jitihada gan kujinasua?
Eddo ni mmoja wa wachambuz mahir sana kwenye kizaz cha sasa na namkubali sana kwenye upande wa creativity kwangu mimi naona dr leaky ni mzur sana kwenye historia kuliko kuuchambua mchezo wenyewe
Wadau msaada kwenye tuta
mie uwa niki2mia site ya o2tvseries kupakua muv uwa inatoka na quality mbovu labda ni minimize screen ndo naona inaonekana poa ila kwa full screen uwa inaonekana vibaya nifanyaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.