Mimi naona ni bora JK hakutajwa wala hakuwepo kwenye uzinduzi, maana kwa nyota ya JK,angeifunika shughuli nzima.Kikwete anapitia phase ambayo Mkapa alipitia
Mkapa hata kutajwa hakutwa wakati wa uzinduzi wa uwanja wa Taifa
na Kikwete juzi hata kutajwa hatajwi uzinduzi wa daraja la kigamboni
Post kama hizi zinaweza kusababisha mtu ukajikuta uko kizimbani maana zinatia hasira isiyo kifani.Nadhani ni jambo jema tu kupata yaliyozungumzwa in summary kuliko kuangalia kitu kizima, kwa jamii zetu ambazo bado hatujakua na uwezo wa kumanage matumizi hata ya simu zetu sio vibaya serikali ikitusaidia katika hili, ili tuweke akili zetu katika kuzalisha na tuache wale tuliowachagua wafanye kazi ya kutuwakilishs vyema huko bungeni. Kungangania kutazama bunge live inamaana sisi wananchi hatuna hata imani na wale tuliowachagua kama wanafanya vyema kazi zao, sasa na tuwekeze katika kuchagua wawakilishi sahihi.
Nchi ilipofika inahitaji uongozi wa Magufuli mixed grilled.hapo patamu, kina msigwa hawajitambui as a reader you can not issue such a low statement.kwani tunaishi kwa hisani, ndiyo maana nchi haitasonga kwa viongozi wa waina hii. Magufuli lazima aonyeshe kama nchi ipo na inasongaNi bora magufuli dikteta kuliko JK mpanda ndege
Na kweli mtaenda mahakamani wengi sana maana mnadhani nchi inaendeshwa kwa porojo na mihemko..Post kama hizi zinaweza kusababisha mtu ukajikuta uko kizimbani maana zinatia hasira isiyo kifani.
In fact they are on test at the moment, they should prove to us that they are there for politicAl battle. Lamenting, lamenting as an opposition leader does not show that you are taking your bit.ETi bora mstaafu, purely this is kiddingkama opposition (UKAWA, etc) itakuwa so weak kiasi cha kushindwa kupata immediate solution ya changamoto ya kitoto kama hii, then I think they are very weak and sooner than later the electorate (myself included) will start losing confidence in them.
we are watching!
Haya, serikali haina fedha. Wapo wenye fedha, Azam TV, StarTV nk basi waruhusuni hao waoneshe! Hamtaki! Kumbe mnachotaka kuficha nini?
In fact they are on test at the moment, they should prove to us that they are there for politicAl battle. Lamenting, lamenting as an opposition leader does not show that you are taking your bit.ETi bora mstaafu, purely this is kidding
dah sijui nisemeje, kutokurushwa kwa bunge kumeniuma lakini, ukiangalia kwa maono ya mbali, uhuru wa habari na demokrasia kwa Africa una hasara pengine kuliko faida, ukiangalia nchi zenye matabaka makubwa yanayopingana ili kuweza kuyatawala yale makundi ni bora ukatawala kwa nguvu na kibabe kuliko kuruhusu demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari
vyombo hivi hutumika kutoa au kufichua taarifa ambazo zinaleta mgongano na kuchochea chuki zaidi katika jamii ambayo ilikuwa haipo stable na yenye watu ambao wanaweza kuwa influenced sana na wanasiasa
tukichukulia mfano wa nchi ambazo hazina demokrasia wala uhuru wa vyombo vya habari lakini kutokuwa na vitu hivi kumesaidia ni kama Rwanda
Rwanda hakuna demokrasia hakuna uhuru wa vyombo vya habari na kuna mtawala mmoja ambaye amebadilisha katiba ili atawale miaka mingine 7 na pia kumekuwa na shutuma nyingi za Kagame kutesa wapinzani wake na wengine kutokomezwa ki mafia,
ukiangalia hapa ni ukiukwaji mkubwa wa demokrasia na lakini ia Rwanda ni nchi ambayo ilikuwa na makabia mawili hasimu ambayo kama uhuru huo wa kujielezea, demokrasia ungekuwepo ungeweza kuamsha tena zile hisia na hata kusababisha machafuko mengine, lakini Rwanda ipo stable na inafanya vizuri
nchi nyingine ni Libya , nchi hii ilikuwa inatawaliwa na Ghadaffi kwa ubabe, alitawala kwa miaka zaidi ya 40 ukiukwaji mkubwa wa demokasia, uhuru wa habari wakosoaji wa serikali pia walikuwa wanateswa kufukuzwa na na kuuwawa
akaondolewa kwa mapinduzi, sasa hivi libya hakuna mtu strong wa kuitawala kibabe tena , bali vikundi vya watu na makabila mbalimbali vikipigana endlessly
Mfano mwingine ni Misri, nchi ya Misri ilikuwa ikitawaliwa na Hosni Mubarak, utawala wake ulikuwa hakuna demokrasia , na upinzani ulikandamizwa sana lakini nchi ilikuwa stable kuliko ilivyo baada ya yeye kuondoka na demokrasia kupanuka
kuna mifano mingi lakini hii inaweza kukuonyesha tu namna uhuru wa habari na demokrasia unavyoweza kuleta hasara kuliko faida kwa nchi za Afrika