Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.

Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.

Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.

Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.

Umeshapigwa changa la macho
 
Acha ubwege achana naye tafuta mwingine mwenye virgin maana naona upo obssesed na virgin na huyo mwingine akibakwa tafuta mwingine tena utampata ambaye hatobakwa
 
Wakata anabakwa hakukuwa na watu hapo nyumban? Alijaribu vp kuzuia asibakwe? Alipiga kelele? Alibakiwa wap? Kutoka alipokuwa mpaka alipobakiwa alitumia jitihada gan kujinasua?
 
We dogo huyo manzi anakupanga, hajabakwa wala nini ila amekuandaa kisaikolojia tu. Mtoto wa kike halafu denti kuishi katika mazingira hayo ya kipangaji na kuna msela jirani ni nadra sana asiwe analiwa hasa kama wanashea apartment na demu akiwa anabanwa sana na dadaake.Hii ina maana jamaa ndio company yake mara nyingi hasa akitoka kwenye mishe zake ama siku za weekend na kuna uwezekano mkubwa ni mtu anaeheshimika sana na dada wa huyo demu wako hivyo huachiwa jukumu la kumlinda demu wako pia wakiwa hawapo aidha wamesafiri n.k.

Tushafanya sana hio michezo na mwisho kutiana kimasihara mara kukimbizana, mara kumwagiana maji, mara kutenkenyana mtoto anashikwa kiuno tu anacheka cheka, mara ngwala na mwisho nyege hufanya maamuzi. Ni mpeke tu...na hapo kuna dalili zote kuwa gemu ya kwanza ilipigiwa kwenye kochi lao kubwa lile.

Uzuri wa gemu zinazoanza kienyeji huwa ni tamu mno na hazinaga mkataba rasmi hivyo unajipigia unavyotaka tu kadri mazingira yanavyoruhusu na vile mnakaa nyumba moja ndio dah, hii inaashiria demu wako ameshachapwa nao sana toka muda alokwambia amebakwa regardless ndio alitolewa bikra au la ila kwa sasa jamaa ndio kashahama hilo eneo so hawatakuwa wanonana kirahisi. Ndio maana katoa ripoti ya kinafiki tu tena very late ila kwa kuwa unampenda utaamini ndio ilivyo.

So dogo kuwa makini, na huo niliokupa ndio uhalisia wa kilichotokea. Ni wewe tu kuchagua kusuka au kunyoa mwisho wa siku ukiprove haya niliokwambia kwa huyo demu wako.


Mh..hapa kuna ukweli na kitu cha kujifunza pia
 
Huyo MTU alimbaka alipanga nyumba moja na Dada ake ambae alikuwa ameolewa na anaishi na familia yake hapo Siku ya tukio Dada ake mume wake walisafiri so alikuwa peke yake na huyo jamaa na sababu wanashea mlango mmoja wa nyumba ndo mana hilo tukio likafanyika, ameshindwa kureport sababu ya aibu hapendi familia yake na watu wengine wajue baada ya Dada ake kurudi huyo jamaa nae alihama. Na hilo tukio halijarudia tena baada ya hapo, ninamfahamu vizuri kitabia na ninajua asingeweza kunidanganya na hadi anaamua kuniambia Mimi sikuwa nimemuomba tufanye ngono yeye ndo aliniomba aniambie. Kitu kizuri hajapata ujauzito ila bado hajapima HIV pia alinambia hakupata magonjwa yoyote ya ngono.
ulikuwepo!!?
unadanganywa acha hizi wewe
 
Suala ambalo watu hawajui ni kuwa mabinti wanafanyiwa vitendo vya ubakaji sana tu haswa na watu wanaoishi nao, yaweza kuwa baba,kaka,mjomba,binamu,jirani nk. Na wengine hutishiwa maisha endapo watasema,hivyo hujikuta wakiungua ndani kwa ndani bila kupata msaada.

Wengi humu wameonyesha kulichukulia hili suala very simple kama oooh anadanganya, mara hiyo ni janja janja tu, ila wamesahau kufikiria kuwa what if ni kweli hilo limetokea!!!

Wakati mwingine tuache masihara katika mambo ya msingi na tuisaidie jamii, wapo wengi wa aina ya huyo binti anayezungumziwa kwenye mada.
 
Hahaha acha kuamini kirahisi hivo girls are so clever!!! Kama alibakwa kwa nini hakureport kokote? Na kwa nini akwambie sasa? Cha kufanya mwambie mfungue mashtaka kuhusu Huyo aliembaka, akikataa jiongeze
 
yah inakubid uamini, hakuna namna.
nakuhakikishia kua itakutesa sana wewe kuliko yeye.
nb; usimwamin binti,never. yalimkuta adam,
ila angalia km unaweza endelea naye,yaani huru.
 
Pole kijana wa shule kwa yalio kusibu, yani mtu abakwe leo akuambie baada ya mwezi mmoja baadaye!! Mbona nahisi kuchapiwa hapo, Polisi kwenyewe haku report.
 
Alibakwa mwezi 12, amekwambia juzi, hakuripoti popote (maana yake hana hata rafiki yake anayemuamini), na aliyembaka ni jirani hata sio ndugu kusema ataonekana anamsingizia, mna date huu ni mwaka wa tatu Akili za kuambiwa ... Asingekua bikira kabla ya kumfahamu asingekutaarifu. Nina mashaka na mazingira ya ubakaji
 
Back
Top Bottom