Recent content by King Victor

  1. King Victor

    Binti kaa mbali mita thousand hili goma la machizi nisijeonekana natafuta kiki

    Mtoa mada hebu kapitie upya ule uzi na ufatilie mtoa mada alichokuwa anazungumza.Yote kwa yote Bikira ina umuhimu wake katika ndoa. Love and peace
  2. King Victor

    Interior design tufurahishe macho

    Good... Love and peace
  3. King Victor

    Biashara ndogondogo zinaweza kukutoa mapema ukipeleka mnadani

    Mkuu huo ni mkoa gani? Love and peace
  4. King Victor

    Wanaohitaji kuchimbiwa visima vya maji tuonane hapa

    Gharama zenu za kuchimba kisima kwa mkoa wa Mbeya kata ya Iyunga zipoje na mita zake kwenda chini ni ngapi? Love and peace
  5. King Victor

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kasulu,Kigoma nije Mbeya wilaya yoyote ile.Idara shule ya msingi. Love and peace
  6. King Victor

    Jicho lililopotea

    AI see eee.....umenena vyema kabisa
  7. King Victor

    Tatizo la mimba kwa wanafunzi Tanzania nini kifanyike?

    Kwa upande wako wewe unashauri serikali ifanye nini ili iondoe au ipunguze hiyo kadhia ya wanafunzi kupewa mimba?
  8. King Victor

    PEPIN; Shujaa wa Czech aliyetesa watawala mashabiki wakamuokoa

    Huyo kweli alikuwa kipenzi chao
  9. King Victor

    MUST READ: Ukweli kuhusu mapenzi

    Umesema ukweli mtupu
  10. King Victor

    Ananipenda lakini hayuko moyoni

    Ushauri mzuri sana
  11. King Victor

    Makaburi ya Ma-Don na wauza unga wa Mexico

    Ukirejea mkuu usisahau kunitag
  12. King Victor

    karibu kiti Rafiki, unipe japo ushauri!

    Tatizo vijana wasikuhizi ni wabishi sana
Back
Top Bottom